Asilimia 90 ya ngano inatoka nje, kwahiyo tunakulaga chapati za Urusi, wananunua wanapaki wanatuuzia

Dunia imeingia kwenye janga la mafuta na ngano, lakini bado watu wanang'ang'ania kutoza kodi. Mfumko wa bei unazidi kuteketeza uchumi wa mtanzania lakini bado jitihada za kudhibiti hazijaonekana. Kuna haja kama taifa tuyaishi maono ya kijamaa. Tuanzishe mashamba ya umwagiliaji, tutumie vijana wasio na ajira kulima. Serikali isiingie sana kwenye ubepari,kwamba kila jambolifanywe na private sector. Ni bora tukafanye Mapinduzi ya kilimo na viwanda. Viwe chini ya usimamizi wa jeshi mpaka uchumi utakapo kaa sawa. Mvua hazinyeshi Nchi inaenda kuingia kwenye janga la njaa,je kama Nchi tunajipangaje. Hatua stahiki zinapaswa kuchukuliwa ili kuokoa Nchi na anguko la uchumi.
 
Najiuliza sana maswali yale mashamba ya KITULO na west kilimanjaro yalifia wapi mpaka kuagiza ngano Urusi?
Serikali yangu wakati mwingine mnatuchosha akili zetu wananchi
 
Si ukalime upunguze nakisi,unataka wakalime uvccm
 
Kila mtu anataka kukata mauno
Awe msanii

Ova
 
hayo mashamba ni mara wapewe wananchi hayana faida yamebaki sehem ya malisho ya mifugo
 
Nchi yetu ya kijamaa. Na sifa moja ya uchumi wa kijamaa ni upungufu wa bidhaa mbalimbali na uzalishaji mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…