Asilimia 95 ya mabinti wanaotoka kwenye familia tajiri ni makahaba wa kutupwa!

Asilimia 95 ya mabinti wanaotoka kwenye familia tajiri ni makahaba wa kutupwa!

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Kwa utafiti wangu usiotia shaka hata chembe tena kwa kujionea mimi mwenyewe hakika asilimia kubwa ya mabinti wanao tokea kwenye familia tajiri ama wanaojiweza ni makahaba wa kutupwa!

Ipo hivi, mawakala wa uzinzi na ma dada poa sugu miaka ya hivi karibuni wanaendesha mradi wa kuwauza mabinti kwa midume yenye ukwasi kwa makubaliano ya kulipwa mamilioni ya pesa kuanzia milioni moja hadi milioni 5.

Walengwa wakuu wa mradi huo ni mabinti wanaosoma shule za kitajiri hasa za bweni na mawakala wale wamejenga mtandao wao unaowanufaisha kwa pamoja wakala na matron wakati mwingine dau likiwa kubwa na pengine mnunua binti kwa maana ya dume husika anahitaji binti awe naye kwa zaidi ya siku moja matron hulazimika kumshirikisha kwa usiri mkubwa mkuu wake wa kazi kwa ahadi ya yeye kupatiwa mgawo usiopungua milioni kwa mfano.

Mgawanyo huwa hivi endapo itatoka milioni moja asilimia 40 huchukua wakala ila wakala naye ndani ya hiyo 40% huigawanya kwa kumlipa mtunza nyumba ya wanafunzi wa kike ( matron) na 60% huchukua mhusika.

Ieleweke, mawakala hao huwalenga mabinti wa kitasha kwa kuwashawishi zawadi kemkem za gharama kubwa ikiwamo simu za kisasa, nguo na mambo mengi ambayo huwa yapo aghari kwa wakati husika. Vilevile, mawakala wale huwaahidi msaada wa ufaulu mitihani kwa wao kutoa rushwa kwa wahusika na mwisho wa siku matokeo hutoka wana daraja la kwanza.

Mabinti wa kuanzia kidato cha 4, 5, 6 na vyuoni ndiwo waathiriwa wakubwa wa mradi huo na hupelekwa mahotel makubwa yenye hadhi ya nyota 4 na 5.

Ni mengi kuwahusu lakini leo naishia hapa.
 
16.jpg
 
Utafiti wa hovyo sana huu,hakuna anayeuzwa wanajiuza hakuna wanao nunua bila kuuzwa

USSR
....waliofikia hatua hiyo ni wale walio kosa tena soko kwa mawakala.

Tambua, mawakala huwaahidi binti mpya ( chaka) wateja wao kila siku na wahitaji mabinti nao hutaka chaka jipya kila siku na hapo ndipo wajana huonekana zilipendwa.
 
Mtoto wa tajiri hajiuzi hata siku.moja akimtaka mtu yeye ndie anamhonga

Utafoti wako wa uongo

Halafu watoto wa matajiri wengi wana malengo ya maisha ndio maana shule wanakosoma watoto wa matajiri watoto hufaulu sana
 
Mtoto wa tajiri hajiuzi hata siku.moja akimtaka mtu yeye ndie anamhonga

Utafoti wako wa uongo

Halafu watoto wa matajiri wengi wana malengo ya maisha nfio.maana shule wanakosoma watoto wa matajiri watoto hufaulu sana
Pole!
 
Hao sio watoto wa matajiri sema ni makahaba wanaojiweka vizuri kwa kujipamba na kujipa thamani wengi wao hata maendeleo hawana kazi kupanga sinza karibu na maeneo ya starehe na pesa hata wapewe kwa siku million wanamaliza zote .

Hata unaowaona Instagram mara sijui video queen ndo hao hao wanajiweka maisha ya juu ila siku akiumwa ndo utajua ...

Hakuna mtoto wa tajiri wa hovyo kwa kiasi kikubwa hawa biashara mpaka watu watakaokuja kuwaoa wanajulikana Kila kitu connection wao kwa wao.
 
Mnawakandia mabinti kutokea familia zenye ukwasi ili tuwape thamani ninyi kutoka familia za kawaida wakati wote mnauza tu... sasa bora kipi uchukue masikini anaeuza na ubebe mzigo wa majukumu ya ukoo wake mzima au anaeuza upate auheni kwenye hali ya uchumi?
 
Back
Top Bottom