Asilimia kubwa ndugu huvunja ndoa za ndugu zao

Asilimia kubwa ndugu huvunja ndoa za ndugu zao

Kuoa .ni kuongeza familia .unakuwa na famila ya upande wa mume na mke .hivyo basi kuishi kiujamaa ni bora zaidi kuliko kuishi watu wwngi.mimi binafsi napenda ndugu waje kwangu wakae angalau mwezi nafurahi.! Utakuta mtu kalelewa n shangazi au bibi ila yeye akioa anachukia kuja kwa ndugu huo ni ubinafsi. Kama suala ni chokochoko zinazuilika.
Wewe ni vema ukamsikiliza mwenzako anapenda nini na anasababu gani. Usiclamishe kuwa kila mtu anapenda kuishi life style yako ya kuwa around watu wengi muda wote.

Wengine wanapenda utulivu na kufocus na ndoa ndio akili zao zinafanya kazi sawa sawa.

Maisha yanabadilika sana. Na ndio maana kuna familia sasa zinapiga hatua sana kimaendeleo kuliko zingine unaishia kusema hawa wamependelewa na MUNGU kumbe ni mipango yao.

Kuna familia ukiingia hadi unaona jau kuwazoea sababu wapo busy na mambo yao.

Sasa ww unakuwaje busy na ndugu zako zaidi kuliko mkeo. Ndugu wabakie kuwa ndugu mke abakie mke. Mwisho wa siku utafanya mtoto wa watu aanze kuwa mshirikina akuloge ili uwe unachukia ndugu zako.

Msikilize kama akiwa ni ile hapendi ndugu zako waje kwako huyo atakuwa na shida mpe makavu ila swala la kuishi na ndugu hilo siwezi mlaumu.

Wanawake wanadeal na mengi sana unapowaacha na ndugu . Pale ni mji wake anahitaji kupatawala why umeletee watu ambao nao wanajiona ni kwao pia waanze mpangia kwa kisingizio chakuwa wao ni ndugu zako.

Kama bi rahisi kwanini wasiolewe waende kwa waume zao na kuwa na miji ya kutawala au na wao kutafuta pesa wakapate miji yao waoe waishi kwa starehe wanayotaka?!

Mimi sipendi mtoto wa watu ateseke sababu nataka tu kufirahisha watu ambao wanaishi kisela badala ya kuwa na mipango ya maisha tena mipango serious.
 
Sasa badala ya wewe kumsisitiza mwenzako abadilike kwanini wewe usibadilike. Hivi unaona sifa kweli mtu unaona ndio new couple in town wameoana wamefunga ndoa takatifu wanataka waenjoy maisha ya ndoa ujanani.... Haoooooo mshakuja.

Mimi namkubali sana bi mkubwa wangu hanaga huo ushamba. Yaani yeye kuja kwako ni hadi umualike au asikie mkeo kajifungua au anaumwa hana msaada ndio utamuona ila mambo mengine akiwa na shida atakupigia simu uende kwake atakwambia huko huko umsaidie.

Watu wanataka kuenjoy ndoa yao , watembee na chupi ndani nyie mnakuja kuwabana bana halafu sasa watu wa sampuli hii huwa ni wale wavivu wanaopenda kufanyiwa kila kitu wao wakae tu kama wagonjwa hawana mishe wala nini.

Mimi ukija kwangu njoo tu ila ratiba nitakayokupa utaona ni bora ukapange uishi kwako tu maana sipendi kuendekeza uzembe na kubebana kijinga.

Tusaidiane kutoka kimaisha sio kudidimizana kiuchumi kwa kisingizio cha undugu sijui damu nzito kuliko maji.... Damu nzito kuliko maji umejaribu mawe uone balaa lake
Inanihusu mimi hili gazeti🤷🤷
 
mi haya maisha natamani ningekua na hela nyingi mtu yeyote anaekuja kwangu ale kuku, nyama, samaki siku zote anazokaa kwangu hata kama ni mwaka...kuwa na kipato kidogo nadhani kunachangia maneno pia wageni wanahitaji kuku wakila maharage inaleta shida kidogo
yaani khaa 😅😅😅 heri hata wewe umeona
 
Ni kujiendekeza na ubinafsi mbona ukiwa kabwela hawaji mpate shida wote. Dawa ya watu kama hao ni kuwa na biashara na mashamba wakija unawaachia wiki moja tu ya kujiachia watakavyo baada ya hapo ina maana hawana kazi na muda wao unaanza wapa vibarua.

Uncle twende zetu shamba kidogo tukakatie ng'ombe nyasi.

Kesho, uncle sasa kesho kuna mzigo unakuja toka mkoa naomba ukanisaidia kuupokea halafu uupeleke sehemu ntakuelekeza.

Keshokutwa uncle kuna rafiki yangu anajenga sasa alikuwa anahitaji msaada wa kununuliwa vifaa vya ujenzi na kusimamia mafundi naomba unisaidie uende kuna kijana wake pale mtasaidiana kuwatazama wale mafundi.

Ntamkeep busy akilala analala hoi na kumuamsha ni saa kumi alfajiri namuamsha tupige story kabla sijaenda kazini.

Atakoma wiki tu ataaga.
😅😅😅
 
Wakati wa uchumba mbona mnajifanya kuwapenda sana ndg wa mume? Hizo kanuni za kutobanwa mziainishe kabla ya kuolewa, acheni roho mbaya, maisha ya kiafrika ndo hayo, Kwanza ndg wa mume unakuwa na hakika hawezi kukuibia mume kwa asilimia nyingi

Mkuu waliweza kukujibu hilo swali....

Maana wengi wakishaingia ndoani ndio huanza kuona ndugu ni kero.
 
Hatuji huko kwenu
Better...

Yaani unakuja kwangu napika ugali maharage dagaa na mchicha unakataa unasema unataka wali samaki na nyama? Hell no utakula ninachopika, hutaki chapa lapa
 
K
Wewe ni vema ukamsikiliza mwenzako anapenda nini na anasababu gani. Usiclamishe kuwa kila mtu anapenda kuishi life style yako ya kuwa around watu wengi muda wote.

Wengine wanapenda utulivu na kufocus na ndoa ndio akili zao zinafanya kazi sawa sawa.

Maisha yanabadilika sana. Na ndio maana kuna familia sasa zinapiga hatua sana kimaendeleo kuliko zingine unaishia kusema hawa wamependelewa na MUNGU kumbe ni mipango yao.

Kuna familia ukiingia hadi unaona jau kuwazoea sababu wapo busy na mambo yao.

Sasa ww unakuwaje busy na ndugu zako zaidi kuliko mkeo. Ndugu wabakie kuwa ndugu mke abakie mke. Mwisho wa siku utafanya mtoto wa watu aanze kuwa mshirikina akuloge ili uwe unachukia ndugu zako.

Msikilize kama akiwa ni ile hapendi ndugu zako waje kwako huyo atakuwa na shida mpe makavu ila swala la kuishi na ndugu hilo siwezi mlaumu.

Wanawake wanadeal na mengi sana unapowaacha na ndugu . Pale ni mji wake anahitaji kupatawala why umeletee watu ambao nao wanajiona ni kwao pia waanze mpangia kwa kisingizio chakuwa wao ni ndugu zako.

Kama bi rahisi kwanini wasiolewe waende kwa waume zao na kuwa na miji ya kutawala au na wao kutafuta pesa wakapate miji yao waoe waishi kwa starehe wanayotaka?!

Mimi sipendi mtoto wa watu ateseke sababu nataka tu kufirahisha watu ambao wanaishi kisela badala ya kuwa na mipango ya maisha tena mipango serious.
Kuna yale mawifi masingle mother's hayajui ndoa ila yakifika Kwa kaka zao kuleta mikosi na maneno wao hata harufu ya ndoa hawaijui na yamezalishwa kama mabata ukiyakaribisha yanaleta chokochoko

Mfano kaka Yao ana pesa yanataka yamtawale mpaka mkewe awe chini haya ni nuksi kinoma ndo chanzo Cha matatizo .Baadae hayo matoto yao waliozaa bila kuolewa watayaleta hapo kukaa hapo Lisa kaka yao na kipato instead ya kuwapeleka Kwa baba zao
 
Better...

Yaani unakuja kwangu napika ugali maharage dagaa na mchicha unakataa unasema unataka wali samaki na nyama? Hell no utakula ninachopika, hutaki chapa lapa



Imeandikwa;

“ Iweni wakarimu kwa wageni maana kwa kufanya hivyo wengine waliweza kuwakaribisha Malaika wa Mungu”

Kwa mtu mwenye moyo wa upendo na ukarimu kwa wageni akija mgeni hata kama ratiba ilikuwa mboga ya maharagwe atabadilisha apike nyama au samaki ili kumkarimu mgeni japo kwa siku za mwanzoni n.k
 
Back
Top Bottom