Asilimia kubwa ndugu huvunja ndoa za ndugu zao

Asilimia kubwa ndugu huvunja ndoa za ndugu zao

K

Kuna yale mawifi masingle mother's hayajui ndoa ila yakifika Kwa kaka zao kuleta mikosi na maneno wao hata harufu ya ndoa hawaijui na yamezalishwa kama mabata ukiyakaribisha yanaleta chokochoko

Mfano kaka Yao ana pesa yanataka yamtawale mpaka mkewe awe chini haya ni nuksi kinoma ndo chanzo Cha matatizo .Baadae hayo matoto yao waliozaa bila kuolewa watayaleta hapo kukaa hapo Lisa kaka yao na kipato instead ya kuwapeleka Kwa baba zao



Na kadiri unavyowachukia na kuweka gap ndio uwezekano wa kumkuwadia kaka yao michepuko unakuwa mkubwa ili kukukomoa na kukukomesha [emoji108][emoji108]
 
Na kadiri unavyowachukia na kuweka gap ndio uwezekano wa kumkuwadia kaka yao michezo unakuwa mkubwa ili kukukomoa na kukukomesha [emoji108][emoji108]
Mimi nikiwa na mke wangu ndugu ndoa yake ikimshinda asilete sura yake kila mtu apambane na life lake
Wanawake wanaharibu Sana ndoa za kaka zao wengi ukiwaribisha kwako ni hatari mi nisipendi ndugu wa kike kujifanya wanajali kumbe wivu tu kwa wifi yao
 
Imeandikwa;

“ Iweni wakarimu kwa wageni maana kwa kufanya hivyo wengine waliweza kuwakaribisha Malaika wa Mungu”

Kwa mtu mwenye moyo wa upendo na ukarimu kwa wageni akija mgeni hata kama ratiba ilikuwa mboga ya maharagwe atabadilisha apike nyama au samaki ili kumkarimu mgeni japo kwa siku za mwanzoni n.k
Kwa siku za mwanzo sio shida, huko mbeleni tunaendelea na ratiba kama kawaida
 
Wakati wa uchumba mbona mnajifanya kuwapenda sana ndg wa mume? Hizo kanuni za kutobanwa mziainishe kabla ya kuolewa, acheni roho mbaya, maisha ya kiafrika ndo hayo, Kwanza ndg wa mume unakuwa na hakika hawezi kukuibia mume kwa asilimia nyingi
Wakati wa uchumba fulu maigizo kwa mama mkwe na ndugu kiujumla.. simu na zawadi kila uchao.. kakiwekwa ndani rangi zako ndo zinachanua kama hivi.. shubaaamit😬
 
K

Kuna yale mawifi masingle mother's hayajui ndoa ila yakifika Kwa kaka zao kuleta mikosi na maneno wao hata harufu ya ndoa hawaijui na yamezalishwa kama mabata ukiyakaribisha yanaleta chokochoko

Mfano kaka Yao ana pesa yanataka yamtawale mpaka mkewe awe chini haya ni nuksi kinoma ndo chanzo Cha matatizo .Baadae hayo matoto yao waliozaa bila kuolewa watayaleta hapo kukaa hapo Lisa kaka yao na kipato instead ya kuwapeleka Kwa baba zao
Na wanauzazi hao kila mwaka wanafyatua
 
Wakati wa uchumba fulu maigizo kwa mama mkwe na ndugu kiujumla.. simu na zawadi kila uchao.. kakiwekwa ndani rangi zako ndo zinachanua kama hivi.. shubaaamit[emoji51]
Kila kitu kiwe kwa kiasi ndiyo maana hata mboga tunabadilisha, mwanaume atawaacha wazazi wake ataambatana na mkewe, na mwanamke ataacha wazazi ataambatana na mmewe, wapewe nafasi mtu mnajazana watu wanashindwa hata kuinjoy mnajibana bana pumzi ili walio lala sebuleni wasisikie
 
Kila kitu kiwe kwa kiasi ndiyo maana hata mboga tunabadilisha, mwanaume atawaacha wazazi wake ataambatana na mkewe, na mwanamke ataacha wazazi ataambatana na mmewe, wapewe nafasi mtu mnajazana watu wanashindwa hata kuinjoy mnajibana bana pumzi ili walio lala sebuleni wasisikie
Kwa afrika ndiyo maisha yetu.. watapungua hawez kuisha.. tatizo la wadada waleo wanadhani maisha ya kwenye tamthilia yanashabihiana na maisha halisi ya kiafrika
 
Ndugu wa mwenza utaishi nao vipi kabla ya kuolewa/oa?

Wewe utaoa vipi mwanamke ambaye ndugu zako hawajamfahamu....

Kuna zile mara moja moja zile mnaenda nae kwa maza,, huwa wanajifanya very innocent.... au hujui Mwanamke akiweza kukamata trust kwa ndugu zako mapema, kwake huwa ni tiketi ya wewe kumuoa...??
 
Wewe utaoa vipi mwanamke ambaye ndugu zako hawajamfahamu....

Kuna zile mara moja moja zile mnaenda nae kwa maza,, huwa wanajifanya very innocent.... au hujui Mwanamke akiweza kukamata trust kwa ndugu zako mapema, kwake huwa ni tiketi ya wewe kumuoa...??
Hizo mara chache hazitoshi.....
 
Imeandikwa;

“ Iweni wakarimu kwa wageni maana kwa kufanya hivyo wengine waliweza kuwakaribisha Malaika wa Mungu”

Kwa mtu mwenye moyo wa upendo na ukarimu kwa wageni akija mgeni hata kama ratiba ilikuwa mboga ya maharagwe atabadilisha apike nyama au samaki ili kumkarimu mgeni japo kwa siku za mwanzoni n.k
Ukichukua kila kilichoandikwa kwenye Biblia kichwa kichwa kama kilivyo lazima uende chaka
 
Nilipoanza maisha na yule tumbili,alinijazia ndugu kama watano nikiwa mdogo kabisa.
Baadae wakawa chanzo cha kuachana.
 
Dinazarde hatupendi ila ni hali ya maisha. Mtoto anakwenda shule ya upili iwe ya kulipia au amechaguliwa katika shule za serikali. Unaambiwa akitaka kukaa boda kuna gharama kama laki nne hivi kwa mwaka.

Nyumbani una wadogo zake wanasoma kutoa laki nne kulipia bweni ni vigumu. Unakumbuka Kidawa mtoto wa shangazi anaishi katika mji ile. Kidawa anaachiwa ulezi.
 
Mimi juzi tu nimemkataza mpwa wangu kuja kukaa kwangu.

Ni hivi, huyu mpwa wangu nilimleta mjini, nikasimamia show akapata msingi wa kukaa mjini. Mimi baadae nikachomoka nimefikia ughaibuni ila mke wangu mmoja yupo mkoani. Sasa mpwa anataka kuhama Dar kurudi mkoani baada ya miaka kama 7 hivi toka nimuache Dar, anaomba nimpe hifadhi kwangu.

Yaani afikie kwa mke wangu anapojipanga, hii siyo mara ya kwanza yeye kujaribu kurudi mkoani, 2019 aliniomba hifadhi hivi hivi nikamruhusu, cha kushangaza alifika kwangu na watoto wawili, kwanza hakuniambia amepata mtoto wingine mdogo. Wa kwanza nilijua anaye ila pia hakuniambia anakuja naye kwangu.

Sasa baada ya muda akaamua kuondoka kurudi Dar, leo anaomba kurudi kwangu. Inamaana nitakuwa na wajibu wa kumlisha na watoto wake wawili, najua tu atakapofika tu wataanza mambo yao ya wanawake watagombana na mke wangu bure, mke wangu na mtoto wangu nawahudumia kwa bajeti nayoiweza mimi, nikimruhusu aje na watoto wake wawili ntakuwa na bajeti ya watu watano na karaha juu.

Nimeamua kuwa mbaya. Sitaki ujinga wa ndugu. Isitoshe nyumbani kwao siyo mbali na ninapoishi sema kwa kuwa amechezea maisha kama mwanamke anaona aibu kwenda kukaa nyumbani kwao.

Nimemuambia kwangu hakuna nafasi ajipange atafute namna ya kuanza maisha. Nimefanya hivyo kuepuka migogoro isiyokuwa ya lazima katika familia yangu na pia kumpa changamoto ajisimamie, siyo kila siku aje kuomba msaada atazoea.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom