Asilimia kubwa ya Mazao nchini yanakauka kutokana na jua kali linaloendelea kuwaka. Je, kwenu mpo salama?

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Hali ikoje huko kwenu kutokana na hali ya jua kali linalo ikumba Tanzania. Je, kipi kifanyike kama taifa kuokoa wakulima maana hali ikiendelea hivi siku za usoni tutashuhudia Baa la njaa.

Nahisi kama taifa tunahaja ya kuitisha maombi ya taifa Mvua inyeshe kuachana na Dhuluma zozote Tunazifanya
 
Mzee miaka ya karibuni ukame na mafuriko vimekuwa kawaida Kwa Nchi nyingi za Afrika na Dunia.

Sasa hapo maombi yanahusikaje? Hayo ni Mabadiliko ya tabia Nchi yaliyosabanishwa na binadamu.
 
 

Attachments

  • IMG-20250305-WA0035.jpg
    121.6 KB · Views: 2
  • IMG-20250305-WA0007.jpg
    137.3 KB · Views: 1
Oya huu mwaka wenye mitaji midogo kwenye nafaka ! Pumzi itakata mapema πŸ˜‚πŸ˜‚ huku kwetu ndoo ya maharage iko 48k njano golori na Soya !

Niliwaza nilime lakini jua aseee ni kali vibaya mno ! πŸ˜‚ Unaweza ukala za uso vibaya mno !
 
Hapo wapi mkuu,hata Dodoma ni hivyohivyo!
 
Oya huu mwaka wenye mitaji midogo kwenye nafaka ! Pumzi itakata mapema πŸ˜‚πŸ˜‚ huku kwetu ndoo ya maharage iko 48k njano golori na Soya !

Niliwaza nilime lakini jua aseee ni kali vibaya mno ! πŸ˜‚ Unaweza ukala za uso vibaya mno !
Ungelima tuu,kuna baadhi wamepata,Huenda ungekuwa miongoni mwao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…