Asilimia kubwa ya Mazao nchini yanakauka kutokana na jua kali linaloendelea kuwaka. Je, kwenu mpo salama?

Asilimia kubwa ya Mazao nchini yanakauka kutokana na jua kali linaloendelea kuwaka. Je, kwenu mpo salama?

Aisee NI balaa, imagine mtu ni jobless umejitosa kwenye kilimo nako mazao saiz yanakauka unaweza kuzima kwa stress. Huku kwetu Tumbaku zinatuzomea tu
 
Mzee miaka ya karibuni ukame na mafuriko vimekuwa kawaida Kwa Nchi nyingi za Afrika na Dunia.

Sasa hapo maombi yanahusikaje? Hayo ni Mabadiliko ya tabia Nchi yaliyosabanishwa na binadamu.
Inategemea na Mungu wako unaemwamini,Mungu wetu wengine ambae ni Jehova yupo hai na anajibu maombi kwasababu kwake hakuna neno gumu la kumshinda.
17 Eliya alikuwa mwanadamu mwenye tabia moja na sisi, akaomba kwa bidii mvua isinyeshe, na mvua haikunyesha juu ya nchi muda wa miaka mitatu na miezi sita.
Yakobo 5:17

18 Akaomba tena, mbingu zikatoa mvua, nayo nchi ikazaa matunda yake.
Yakobo 5:18
 
Back
Top Bottom