Asilimia kubwa ya utajiri wa Diamond unatokana na kilimo

mmh, wa kilimo wanajulikana acheni maneno ya vijiweni,, Jf siyo maboya wakudanganya kirahisi,, katunge uongo mwingine,,

Ushakalili mkuu kwba MTU kujulikana ni mkulima shaft avae mabuti na apige picha akiwa karibu na mahindi au karanga kama mzee wa Msoga.
 
Kama yeye hapendi kuliweka wazi suala la kilimo we kiherehere cha nini kuongelea mambo ya mwanaume mwenzako tena ambayo yeye binafsi kaona yabaki kuwa siri? Nauliza tu mkuu
Ukijibiwa uni tag mkuu
 
Ahsante TANASHA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ungeandika BWANAKE ingenoga hiyooooooooooooooooooo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…