Asilimia kubwa ya Wafanyabiashara na matajiri Tanzania walifeli Darasa la Saba

Asilimia kubwa ya Wafanyabiashara na matajiri Tanzania walifeli Darasa la Saba

Nakufundisha Reasoning
Previous Era (Back 20 Century)
_Tangu tupate uhuru ni sawa na kusema ndio tuna intake ya kwanza ya uzee, ikimaanisha wale walioishi kipindi hiko ndio wamezeeka sasa, hii intake ilikuwa na sifa mbili
1)wasomi wachache: almost wote walikula mashavu ya ajira na kipindi hiko hakukuwa na influence za kutajirika walitosheka
2)Waliofeli: walikuwa na chaguo la Biashara tu walifanikiwa huko.

Modern World (21' Century)
_Hiki ni kipindi linguine kabisa Intake yake ya watu wako na umri 20-40 age hiki ni kipindi Dunia imetawaliwa na Taarifa za kutajirika, misamiati kutajirika kwa siku unauwona ×10, kipindi kimejaa maarifa na taarifa.
_Sifa ya kipindi hiki wasomi ndio wana Desire kubwa sana ya kutajirika kuliko kiumbe chochote kile, wamekuwa wakibuni Biashara za kimkakati, njia za kisasa nk kufanikisha hilo.

_Sasahivi Ordinary graduate aliyeajiriwa utamsikia time ikifika nataka nikasimamie miradi YANGU tofauti na wale kipindi cha Previous Era (20 century).

_Mpaka sasa kuna kampuni nyingi sana zinazoenda kuwa kubwa ambazo Founder wake ni wasomi.

_Matokeo yake utakuja kuyaona miaka 30-40 mbele ambapo Intake hii itazeeka.

Hitimisho
mtoa mada upo sahihi endapo utafanya assessment yako kwa Previous Era ila kama utafanya Assessment Era ya sasa mambo ni tofauti kabisa.
Kuna fact kadhaa kweli ila zingine hapana...wasomi wengi biashara zao ukiangalia kwa jicho LA mbali utaona bado biashara zao hazitaleta ukwasi mkubwa mbeleni...wengi ni kampuni za kujiweka more smart lakin hamna kitu... vijana wanaopambana kariakoo etc ,pita kariakoo check maduka ya vijana baadhi uone wanavyofanya sales za kutisha..kuna mmoja i know ana hotel na miaka 10 ijayo atatingisha ila hana elimu .....sema hawana showoff za kushinda linkedin ...
 
Back
Top Bottom