Asilimia kubwa ya wanaume wanaojielewa wapo PM

I thnk mr smart ur smart enough kutofautisha kati ya tangazo na vitu vya kawaida ...binafsi sihitaji

kila ninachokiandika waja wamenikaliaa.kooni basi ngoja nihamie jukwaa la dini niokoke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mbona kwenye nyuzi zingine huwa hucomment hivi??mi mwanaume anayezunguka zungukaa kwakweli huwa namvuaa thaman yake ......why usiwe ww ili uwe free??aaaagh kinda boring
Challenge accepted....!!!


 
Kama wanakulisha, kukuvisha na kukulaza labda, maisha yenyewe mafupi haya
Yaan mtu sijawah mfata pm sijawah muomba ela ya bundle hakunielekeza namna ya kujiungaa,yaaan inshort hawalipii bill yangu yoyote ila roho zinawaumaa mm kuwepk hapa,kama sio uchawi ni nn??unakuwa na roho mbaya na usiye mjuaaa loooh
 
Alafu sikutegemeaga kama na ww una mambo ya chini chini kama haya, anyway let me kip my mouth shut ....
I see, kila la heri kwenye ku-keep your mouth shut

Wengine ngoja tushuhudie tu tunaamini muda ni mwalimu mzuri

Naomba niishie hapa tafadhali
 
Yaan mtu sijawah mfata pm sijawah muomba ela ya bundle hakunielekeza namna ya kujiungaa,yaaan inshort hawalipii bill yangu yoyote ila roho zinawaumaa mm kuwepk hapa,kama sio uchawi ni nn??unakuwa na roho mbaya na usiye mjuaaa loooh
Wasamehe tu ndugu, ndivyo walimwengu tulivyo
 
I see, kila la heri kwenye ku-keep your mouth shut

Wengine ngoja tushuhudie tu tunaamini muda ni mwalimu mzuri

Naomba niishie hapa tafadhali
Na unaloliombaa litakurudiaaa ww na mawazo yako ...yaan watu mnapenda kuchokonoaa chokonoaa mtu ili aongee anyway patience issa key.....endeleaaa kusubiri hapo hapo unalotaka na halitakuwaaa milee na husda na hasada zako!!!
Ikifika huo muda dont forget to tag me......im here to stay brah️
 
Sawa...You are right

 
Kwa nilivyoelewa mimi ni kwamba "Tunakaribishwa kwa wingi PM kwako".

Biashara matangazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…