Asilimia kubwa ya wanaume wanaojielewa wapo PM

Daaaaaaah Mambembe weeee sasa naanza kukuelewa vzuri .

Aka ka ID kako aka nmeshajua mmiliki wake ila Nakupenda ivoivo.
 
Wee usiniambiee?watag basi mamods ili waunge kama multiple id jomoni
Love u piaaa.....dear
Mmhhhh yaaan namanisha ivi sio multiple ID sababu kuna watu wana simu nne tano nazote wamepakua JF apps ,nazote zipo Active km ulivyosema wanaume above 35 niwatamu ( ila niwaume za watu hapo usikwepe).

Ila kabisa huyu mtu alopo kichwan mwangu nampenda lkn uandishi wake niwako kabisa .

Naomba km niww ujue nakupenda tu siku zote
 
Mmmmh hapana sio mm
 
Dume? kwa hiyo huenda ni ndugu na kaoge
Mkuu hawa walisababishia ban ..wana group lao wananioneaa wivu wameniita majina kibao bt this tym around im not buyin they are bulshit dats why unaona wanajicommentishaa nawapa dozi kilaa siku so dnt bothered kuhangaika nao
 
Kwenye hio listi hawa vicha wawili hearly na Palantir wamo...
Kama wamo niambie nami nijitose
hahahaha!!.. Jaribu tu kwenda huko PM ila kuna mawakala wa Badoo kibao, acha nibaki huku Open kulinda nafasi yako!!..

Tangazo la kualikana PM ni ushamba lakini!!..Mtu anajiamini ana soko amwage namba yenye details zote tumfungie kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…