Kumbe ndio maana wasimbe n wengiSasa mwanke kama huyu atakumbuka kweli tarehe yske ya kuwa kwenye period?
itabidi tuje tuokoe jahazi huko, kaka zao wanapenda weupeKila nyumba mwanza kuna msimbe mmoja au wawili
Anaharakia wapi na hajaolewaYaani huku hawazai bali wanafyatua kuna binti ana miaka 21 ana watoto wawili na ni msimbe tayari
Kheri ya mwaka mpya mkuuWakuu asubuhi yote hii ni ndo mnawaza haya?
Kama anakumbuka kukupa kinyanduliwa wewe mnyandue tuu mkuu mambo ya period achana nayoUnakutana na msichana mzuri unaomba namba hana ujanja wa kukutajia,ataanza kupekenyua simu yake su ataomba ya kwako akubeep ndio upate nsmba yake.
Sasa mwanke kama huyu atakumbuka kweli tarehe yske ya kuwa kwenye period?
Si ajabu kugawa namba lakini hawakumbuki hizo namba kichwani