masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Mkuu mwambie huyo mshirikina, na mtoa kafara!Uchawi ni imani potofu! Ukiuamini, umepotea. Mimi ninaingia mwaka wa tatu huu! Hakuna cha uchawi, wala nini! Halafu biashara imenyooka kama rula.
Kutokubweteka, nidhamu ya pesa pamoja na ulinzi wake madhubuti, nidhamu kwa wateja, ubunifu, kujiongeza, kukwepa kodi za kijinga za TRA, kununua bidhaa za magendo kwa bei ya chini na kwenda kuuza kwa bei ya sokoni, kutumia fursa mbalimbali, nk ndiyo uchawi wenyewe huo sasa!!!