masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Mkuu mwambie huyo mshirikina, na mtoa kafara!Uchawi ni imani potofu! Ukiuamini, umepotea. Mimi ninaingia mwaka wa tatu huu! Hakuna cha uchawi, wala nini! Halafu biashara imenyooka kama rula.
Kutokubweteka, nidhamu ya pesa pamoja na ulinzi wake madhubuti, nidhamu kwa wateja, ubunifu, kujiongeza, kukwepa kodi za kijinga za TRA, kununua bidhaa za magendo kwa bei ya chini na kwenda kuuza kwa bei ya sokoni, kutumia fursa mbalimbali, nk ndiyo uchawi wenyewe huo sasa!!!
As i told you! Ukiwa na wazo zuri la biashara, una mtaji wa uhakika, ukaenda kuanzisha hiyo biashara katika eneo sahihi! Una soko la uhakika, una nidhamu kwa wateja wako, bei ya bidhaa zako ni rafiki kuliko washindani wako!We subiri tu shetani anakulia mingo pigo 1 tu chali
Ndio unajua Leo? Tanzania ipo top 10 ya Nchi zinazoamini ushirikina Duniani.Kwenye siasa, uchawi 100%
Biashara uchawi upo kwa 75% waliobaki hawajielewi wamuamini Mungu au waingie kwa sangoma😂😂😅😅
Kwenye Ajira uchawi unatumika kupandisha vyeo, kulinda vyeo na kurudisha kazini wadau waliotimuliwa.
Mahakamani huko 90% na zaidi kuna mauza uza kibao ya ushirikina. na umeua wengi sana kwenye kesi kama za Mirathi
Kwenye mapenzi huko 90% ya kina mama wanatulisha vitu vizito sana ili tuwapende na kuwasikiliza..
90% ya kesi za mirathi humalizwa na ushirikina. Jikute wewe ndio unapinga wadau wasiuze mali utajikuta jalalani unaokota kopo
Narudi
Umemkabidhi Mungu ili nini wakati unafuata formula za biashara? Mungu aongeze nini? Kwanini hauwi neutral?As i told you! Ukiwa na wazo zuri la biashara, una mtaji wa uhakika, ukaenda kuanzisha hiyo biashara katika eneo sahihi! Una soko la uhakika, una nidhamu kwa wateja wako, bei ya bidhaa zako ni rafiki kuliko washindani wako!
Aisew huo uchawi na chuma ulete sijui, utausikia tu kwa jirani. Binafsi biashara yangu nimemkabidhi Mwenyezi Mungu, badala ya hao waganga wenu wa kienyeji.
Nuru na Giza hazikai pamoja, ni vigumu kuwa kote kote.MBAYA ZAIDI UTAKUTA ANATUMIA NGUVU ZA KIZA,KWA SIRI,HUKU AKIWA NI MTU WA KANISA KWELI NA KUWAASA WENGINE WAACHANE NA NGUVU ZA GIZA TUMTEGEMEE YESU,IN FACT JEHANAM ITAJAA KWELIKWELI.
😂😂😂😂Kuroga Tanga ni kama bima ya afyaIla wana wa Ishmael kwa kupenda uganga hawajambo.
Mmoja juzi kaenda Tanga kuroga aliposikia kuwa boss hatamwongezea tena mkataba baada ya kuisha alionao
Waulize wachina bulldozer ilipotea huko Handeni, we piga kelele huku mitandaoni ila wabwanga huko Lushoto pia ni wachawi sanaUchawi ni imani potofu! Ukiuamini, umepotea. Mimi ninaingia mwaka wa tatu huu! Hakuna cha uchawi, wala nini! Halafu biashara imenyooka kama rula.
Kutokubweteka, nidhamu ya pesa pamoja na ulinzi wake madhubuti, nidhamu kwa wateja, ubunifu, kujiongeza, kukwepa kodi za kijinga za TRA, kununua bidhaa za magendo kwa bei ya chini na kwenda kuuza kwa bei ya sokoni, kutumia fursa mbalimbali, nk ndiyo uchawi wenyewe huo sasa!!!
Log off mkuuUchawi hoyeeeee
Z
Walifanya na matambiko, tunaweza tukawa tunaumiza vichwa kutaka kujua kwa nini bongolala haiendelei pamoja na kuwa na rasilimali lukuki, kumbe ilishafungwa kwenye maagano ya kimizimu na kiganga, namuomba Mungu aingilie kati aisee....Wakati wa kudai Uhuru viongozi walikuwa wanaenda kuloga bagamoyo ili mkoloni awape uhuru,hii tabia iko kwenye damu ya watz wengi
Uchawi ni imani potofu! Ukiuamini, umepotea. Mimi ninaingia mwaka wa tatu huu! Hakuna cha uchawi, wala nini! Halafu biashara imenyooka kama rula.
Kutokubweteka, nidhamu ya pesa pamoja na ulinzi wake madhubuti, nidhamu kwa wateja, ubunifu, kujiongeza, kukwepa kodi za kijinga za TRA, kununua bidhaa za magendo kwa bei ya chini na kwenda kuuza kwa bei ya sokoni, kutumia fursa mbalimbali, nk ndiyo uchawi wenyewe huo sasa!!!