Asilimia kubwa ya Watanzania wanatumia nguvu za giza katika Biashara, Ajira na Harakati za Maisha Kiujumla

Asilimia kubwa ya Watanzania wanatumia nguvu za giza katika Biashara, Ajira na Harakati za Maisha Kiujumla

Kwenye siasa, uchawi 100%

Biashara uchawi upo kwa 75% waliobaki hawajielewi wamuamini Mungu au waingie kwa sangoma[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]

Kwenye Ajira uchawi unatumika kupandisha vyeo, kulinda vyeo na kurudisha kazini wadau waliotimuliwa.

Mahakamani huko 90% na zaidi kuna mauza uza kibao ya ushirikina na umeua wengi sana kwenye kesi kama za Mirathi.

Kwenye mapenzi huko 90% ya kina mama wanatulisha vitu vizito sana ili tuwapende na kuwasikiliza..

90% ya kesi za mirathi humalizwa na ushirikina. Jikute wewe ndio unapinga wadau wasiuze mali utajikuta jalalani unaokota kopo.

Narudi
Kwahiyo Mfalme Suleiman alikua anatumia ushirikina? [emoji848]
 
Uchawi hauna umuhimu katika kutoboa life, huku uswahilini watu wanaroga Sana but still wana-suffer katika Extreme poverty

Mungu na kuishi katika utakatifu hizo ndo njia sahihi.
Mkuu wachawi wana roga kwaajili ya kuaribu mipango ya watu na siyo kuwaajiri ya maendeleo ndiyo Uswahili ukifanya jambo la maendeleo watahakikisha wana lizuia kwa njia yoyote, Watanzania wanapenda watu wote tuwe na maisha Duni, we uwaoni CCM hawa taki watanzania tuwe na maisha mazuri wakiona Nchi inataka kusogea wanaizamiasha chini, Rejea Mgao wa umeme na maji, mikopo ya wanachuo nk.
 
Kama Uganga ungekuwa wafanikisha utajiri, huko vijijini watu wasingekuwa masikini
 
Ukitaka utusue usiwe vuguvugu kama umeamua kusimama na Mungu simama Naye uwe na subira uwe na nidhamu ya fedha na mda kuwarisk taker usikariri Maisha ni dar re salaam mwanza, Arusha maisha ni popote , muheshimu Mungu kwa pato lako
 
Back
Top Bottom