Asilimia mia moja tunapita, ila kuna sharti dogo sana

Asilimia mia moja tunapita, ila kuna sharti dogo sana

mahindi hayaoti mjini

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
2,120
Reaction score
2,709
100% tunapita round ya pili ila sharti ni baadhi ya wachezaji wasicheze mechi mbili zijazo,

Sie tunamfunga Zambia, Morocco anamfunga DRC, mechi ya mwisho Morocco anamfunga Zambia sie tundraw na DRC, moja kwa moja tumepenya

Au hata tudraw na Zambia na Morocco anamfunga DRC mechi ya mwisho Moroco anamfunga Zambia sie tunamchapa DRC na tumepenya fasta tu

Yaani hii draw ya Zambia na DRC imetubeba sana Lakini je, Watakubali kuwaacha wachezaji wao wanaowapenda? Kwa ajili tupite?
 
100% tunapita round ya pili ila sharti ni baadhi ya wachezaji wasicheze mechi mbili zijazo,

Sie tunamfunga Zambia, Morocco anamfunga DRC, mechi ya mwisho Morocco anamfunga Zambia sie tundraw na DRC, moja kwa moja tumepenya
Hizi ni theory za kilimo cha matikiti😂😂😂.

Asanteni kwa kushiriki.
 
100% tunapita round ya pili ila sharti ni baadhi ya wachezaji wasicheze mechi mbili zijazo,

Sie tunamfunga Zambia, Morocco anamfunga DRC, mechi ya mwisho Morocco anamfunga Zambia sie tundraw na DRC, moja kwa moja tumepenya

Au hata tudraw na Zambia na Morocco anamfunga DRC mechi ya mwisho Moroco anamfunga Zambia sie tunamchapa DRC na tumepenya fasta tu

Yaani hii draw ya Zambia na DRC imetubeba sana Lakini je, Watakubali kuwaacha wachezaji wao wanaowapenda? Kwa ajili tupite?
Hakuna draw hata moja kaka, sisi ni kuchapwa ndani nje mwanzo mwisho.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
100% tunapita round ya pili ila sharti ni baadhi ya wachezaji wasicheze mechi mbili zijazo,

Sie tunamfunga Zambia, Morocco anamfunga DRC, mechi ya mwisho Morocco anamfunga Zambia sie tundraw na DRC, moja kwa moja tumepenya

Au hata tudraw na Zambia na Morocco anamfunga DRC mechi ya mwisho Moroco anamfunga Zambia sie tunamchapa DRC na tumepenya fasta tu

Yaani hii draw ya Zambia na DRC imetubeba sana Lakini je, Watakubali kuwaacha wachezaji wao wanaowapenda? Kwa ajili tupite?
Mashabiki wa taifa stars hamnazo. Kuna timu pale ya kwenda round ya pili? Kocha kasema pale kuna majina tuu hakuna wachezaji.
 
Hebu wataje hao unaotaka watoke tuone kama tunaweza kunyutrolaizi akili..
 
Mashabiki wa taifa stars hamnazo. Kuna timu pale ya kwenda round ya pili? Kocha kasema pale kuna majina tuu hakuna wachezaji.
Umesoma ukaelewa lakini?
Nimesema kuna sharti, na sharti lenyewe ni baadhi ya wachezaji wasicheze ambao ndio hao unaowasema wewe
 
Hebu wataje hao unaotaka watoke tuone kama tunaweza kunyutrolaizi akili..
Samata, manula, msuva, novatus(hana nidhamu), na wazee wote, achezeshe vijana waliopo kwani hatuna cha kupoteza, lengo lilishatimia,
tatizo letu tunataka kubeba ndoo ndio shida, ila tungerelax na kuwaamini vijana tungefanya kitu bila shaka
 
Aliyeita hii timu kichwa cha mwendawazimu yamkini alimaanisha mpaka mashabiki wake, akili za kiwendawazimu hizi.
Kwa heshima kuu,
Waliokaribu na Mzee Mwinyi, watuombee sisi Watanzania kwa Mzee., ili neno au nuksi la kichwa cha mwendawazimu kila mtu hujifunzia kunyoa, sasa muda wa kuliondoa umefika la sivyo tukiendelea nalo bila muhusiko kuliondoa

Basi hiyo ni laana ambayo itatutafuna vizazi na vizazi,

Kumbuka hili neno Mzee alilitoa mwaka 1987, leo ni vizazi vingapi, watu wameshajukuu.

Nawasilisha
 
100% tunapita round ya pili ila sharti ni baadhi ya wachezaji wasicheze mechi mbili zijazo,

Sie tunamfunga Zambia, Morocco anamfunga DRC, mechi ya mwisho Morocco anamfunga Zambia sie tundraw na DRC, moja kwa moja tumepenya

Au hata tudraw na Zambia na Morocco anamfunga DRC mechi ya mwisho Moroco anamfunga Zambia sie tunamchapa DRC na tumepenya fasta tu

Yaani hii draw ya Zambia na DRC imetubeba sana Lakini je, Watakubali kuwaacha wachezaji wao wanaowapenda? Kwa ajili tupite?
Hizi formula za ras simba na twishen yake ya english
 
Samata, manula, msuva, novatus(hana nidhamu), na wazee wote, achezeshe vijana waliopo kwani hatuna cha kupoteza, lengo lilishatimia,
tatizo letu tunataka kubeba ndoo ndio shida, ila tungerelax na kuwaamini vijana tungefanya kitu bila shaka
Sawa
 
Back
Top Bottom