Bora lile neno angetamka kwa mkewe ila sio mbele ya hadhara, ametutia nuksi.Kwa heshima kuu,
Waliokaribu na Mzee Mwinyi, watuombee sisi Watanzania kwa Mzee., ili neno au nuksi la kichwa cha mwendawazimu kila mtu hujifunzia kunyoa, sasa muda wa kuliondoa umefika la sivyo tukiendelea nalo bila muhusiko kuliondoa
Basi hiyo ni laana ambayo itatutafuna vizazi na vizazi,
Kumbuka hili neno Mzee alilitoa mwaka 1987, leo ni vizazi vingapi, watu wameshajukuu.
Nawasilisha
Sasa mahindi yanaotaje kwenye lami?Wewe ulishawahi kuona wapi mahindi hayaoti mjini?
Nilikuwa sijui kwamba mjini kote kuna lami!🤣🤣Sasa mahindi yanaotaje kwenye lami?
Ameenndo Itakuwa Mwaka Huu Inshallah
Kusipo na lami hapo sio mjini japo kupo mjiniNilikuwa sijui kwamba mjini kote kuna lami!🤣🤣
Dunia ina vituko hii
Kwani maana ya lami ndio hio?Kusipo na lami hapo sio mjini japo kupo mjini
Sasa yeye mwenyewe anachagua wachezaji ligi daraja la saba huko ulaya unaacha watu wanaocheza champions league africaMashabiki wa taifa stars hamnazo. Kuna timu pale ya kwenda round ya pili? Kocha kasema pale kuna majina tuu hakuna wachezaji.
HAMUWEZI PITA MIMI NIMEKAA HAPA. MPIRA SIYO UHAMASISHAJI.100% tunapita round ya pili ila sharti ni baadhi ya wachezaji wasicheze mechi mbili zijazo,
Sie tunamfunga Zambia, Morocco anamfunga DRC, mechi ya mwisho Morocco anamfunga Zambia sie tundraw na DRC, moja kwa moja tumepenya
Au hata tudraw na Zambia na Morocco anamfunga DRC mechi ya mwisho Moroco anamfunga Zambia sie tunamchapa DRC na tumepenya fasta tu
Yaani hii draw ya Zambia na DRC imetubeba sana Lakini je, Watakubali kuwaacha wachezaji wao wanaowapenda? Kwa ajili tupite?
NdioKwani maana ya lami ndio hio?
🤣🤣
Tunaoita hakikaHAMUWEZI PITA MIMI NIMEKAA HAPA. MPIRA SIYO UHAMASISHAJI.
Kufuzu raundi ya pili tu kunatoshaKupita kwenda kufanya nini?
Subiri,ndoto yangu itimieWe unaota mkuu
Timu lako la Kifala ....Mimi bado nabaki optimistic kwamba tutavuka hatua hii.
iko hivi mashindano yana timu 24.
Katika hatua hii zinachujwa timu 8 tu.
Timu 16 zitabaki kwa hatua inayofuata..
Kwa msingi huu, hata watakaoshika nafasi ya tatu kwny group level (watakuwa 6) wa4 kati ya 6 watafuzu straight kupitia dirisha la best loser.
Hivyo stars wetu hata wakishinda mechi moja tu watafuzu kama ilivyokuwa kwa Malawi afcon iliyopita.
Tujiepusheni na malawama ya kifala
Rome was not built in a day. Kwa nini tusianze kuwaandaa vijana. Naona walioitwa wanaleta matumaini.100% tunapita round ya pili ila sharti ni baadhi ya wachezaji wasicheze mechi mbili zijazo,
Sie tunamfunga Zambia, Morocco anamfunga DRC, mechi ya mwisho Morocco anamfunga Zambia sie tundraw na DRC, moja kwa moja tumepenya
Au hata tudraw na Zambia na Morocco anamfunga DRC mechi ya mwisho Moroco anamfunga Zambia sie tunamchapa DRC na tumepenya fasta tu
Yaani hii draw ya Zambia na DRC imetubeba sana Lakini je, Watakubali kuwaacha wachezaji wao wanaowapenda? Kwa ajili tupite?
Afadhali na Msuva japo Mzee lakini ako na spirit...Sio yule kikongwe SamataRome was not built in a day. Kwa nini tusianze kuwaandaa vijana. Naona walioitwa wanaleta matumaini.
Samatta, Msuva, Manula , Tshabalala ni mzigo tu. Waacheni wastaafu.
100% tunapita round ya pili ila sharti ni baadhi ya wachezaji wasicheze mechi mbili zijazo,
Sie tunamfunga Zambia, Morocco anamfunga DRC, mechi ya mwisho Morocco anamfunga Zambia sie tundraw na DRC, moja kwa moja tumepenya
Au hata tudraw na Zambia na Morocco anamfunga DRC mechi ya mwisho Moroco anamfunga Zambia sie tunamchapa DRC na tumepenya fasta tu
Yaani hii draw ya Zambia na DRC imetubeba sana Lakini je, Watakubali kuwaacha wachezaji wao wanaowapenda? Kwa ajili tupite?
Safari hii tunamfunga