Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Mambo ya posho hayoWatu wanatoka uzeeni kuja ujanani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya posho hayoWatu wanatoka uzeeni kuja ujanani.
Hongera Erythrocyte kwa ushindi wa Uchawa Bora 2023 humu JF!View attachment 2860069
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kasimu Majaliwa ametangaza hadharani huko kwao Ruangwa kwamba kwenye Jimbo hilo Rais Samia atashinda Uchaguzi kwa 100% , hapa anazungumzia uchaguzi wa 2025 , hata hivyo hakuna kikao chochote ambacho ccm ilikaa kuteua Mgombea Urais wala hakuna mahali popote ambapo Tume ya Uchaguzi imetangaza kupitisha majina ya Wagombea Urais .
Bali kinachofahamika ni kwamba Kasimu Majaliwa hakubaliki kwao na wala hana ushawishi wowote wa kuwezesha Samia kuchaguliwa kwa asilimia hizo na Wana Ruangwa.
Labda kwa Wasahaulifu na kwa wageni wa jf ni kwamba , Kwenye ulioitwa uchaguzi mkuu wa 2020 , Kasimu Majaliwa ni miongoni mwa Wabunge wa ccm waliopita bila kupingwa , baada ya kugundua kwamba hakubaliki kwao aliamua kuhujumu kila mgombea kutoka vyama vingine , wengine waliporwa fomu huku wengine wakiokotwa kwenye mapori ya Mkuranga Mkoa wa Pwani wakiwa na majeraha makubwa , Hivi mtu ambaye hawezi kuwa mbunge bila Wagombea wengine kutekwa anawezaje kushawishi wananchi wamchague Samia , Kwanini anamdanganya Rais , Amelenga jambo gani ?
Chawa anawezaje kumpa za uso Waziri Mkuu ?Hongera Erythrocyte hongera kwa ushindi wa Uchawa Bora 2023 humu JF!
Unazungumzia ushindi wa mpira ?Muwe watu timamu basi kwani ushindi huletwa na ushawishi??
Usingekuwa chawa usingeandika eti Mh. Majaliwa hakubariki wakati Chadema na vyama vyote vya upinzani viliogopa kupambana nae. Poa huwezi kukubali kuwa Mh. Mbowe (anayekubalika sana kwao! Ahahahahaha!!) alishindwa VIBAYA SANA na Kijana mdogo Mwl. Saasisha Mafuwe! Ahahahahaha! Kwa chawa HAWEZI kukubali! Ahahahahaha!!!Chawa anawezaje kumpa za uso Waziri Mkuu ?
JF kuna haja sana ya kuangalia afya ya akili kwa wanaojiunga humu .Usingekuwa chawa usingeandika eti Mh. Majaliwa hakubariki wakati Chadema na vyama vyote vya upinzani viliogopa kupambana nae. Poa huwezi kukubali kuwa Mh. Mbowe (anayekubalika sana kwao! Ahahahahaha!!) alishindwa VIBAYA SANA na Kijana mdogo Mwl. Saasisha Mafuwe! Ahahahahaha! Kwa chawa HAWEZI kukubali! Ahahahahaha!!!
Hili ni Jukwaa la siasa , siyo jukwaa la ChademaJomba unafuatilia mambo ya CCM kuliko ya saccoss yenu ya CHADEMA... vipi mchango wa kusaidia HANANG mmefikisha Tsh ngapi?
Hili siyo jukwaa la ChademaKwani chadema huko hakuna habari tena?!!!
View attachment 2860069
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kasimu Majaliwa ametangaza hadharani huko kwao Ruangwa kwamba kwenye Jimbo hilo Rais Samia atashinda Uchaguzi kwa 100% , hapa anazungumzia uchaguzi wa 2025 , hata hivyo hakuna kikao chochote ambacho ccm ilikaa kuteua Mgombea Urais wala hakuna mahali popote ambapo Tume ya Uchaguzi imetangaza kupitisha majina ya Wagombea Urais .
Bali kinachofahamika ni kwamba Kasimu Majaliwa hakubaliki kwao na wala hana ushawishi wowote wa kuwezesha Samia kuchaguliwa kwa asilimia hizo na Wana Ruangwa.
Labda kwa Wasahaulifu na kwa wageni wa jf ni kwamba , Kwenye ulioitwa uchaguzi mkuu wa 2020 , Kasimu Majaliwa ni miongoni mwa Wabunge wa ccm waliopita bila kupingwa , baada ya kugundua kwamba hakubaliki kwao aliamua kuhujumu kila mgombea kutoka vyama vingine , wengine waliporwa fomu huku wengine wakiokotwa kwenye mapori ya Mkuranga Mkoa wa Pwani wakiwa na majeraha makubwa , Hivi mtu ambaye hawezi kuwa mbunge bila Wagombea wengine kutekwa anawezaje kushawishi wananchi wamchague Samia , Kwanini anamdanganya Rais , Amelenga jambo gani ?
😆😆😆😆Kama Waziri mkuu ni chawa , nani atapona?
Anapiga nywele kiwi!!!!!!Najiuliza mtu ambaye yupo serious na cheo cha PM anapata wapi muda wa kupiga nywele kiwi na matatizo yote haya ya nchi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najiuliza mtu ambaye yupo serious na cheo cha PM anapata wapi muda wa kupiga nywele kiwi na matatizo yote haya ya nchi?
Ila wewe ni mwanajukwaa wa chadema!Hili siyo jukwaa la Chadema
Mimi siyo BAK na kiukweli sijui lolote kuhusu huyo jamaa , na mimi nasikitika kumkosa Jukwaani