Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Sijui kama mnaelewa kuhusu JF , kinachotakiwa kwenye jukwaa hili ni habari zinazohusiana na siasa tu , hawakutaja vyama .Ila wewe ni mwanajukwaa wa chadema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kama mnaelewa kuhusu JF , kinachotakiwa kwenye jukwaa hili ni habari zinazohusiana na siasa tu , hawakutaja vyama .Ila wewe ni mwanajukwaa wa chadema!
Ukimya wote huo, atakua ameshazima. Pole kwa familiaMimi siyo BAK na kiukweli sijui lolote kuhusu huyo jamaa , na mimi nasikitika kumkosa Jukwaani
Sijui lolote , kwani mlikuwa na mpango wa kummaliza ?Ukimya wote huo, atakua ameshazima. Pole kwa familia
Wewe endelea kujiuliza tuNajiuliza mtu ambaye yupo serious na cheo cha PM anapata wapi muda wa kupiga nywele kiwi na matatizo yote haya ya nchi?
Sawa mkuu
Hatari sn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujui?Anapiga nywele kiwi!!!!!!
Duuuuh !!MKuu unajua Nyie sijui Huwa mna macho ya kuona mambo vizuri!
Jpm aliimbwa kuliko hata huyu mama!Tena "Bungee la miaka Saba"likatamkwa Kwa mihemko!!!
Ukiona kiongozi anapigiwa kampeni kabla ya muda kufika ujue wanaompigia kampeni hawamtaki kabisa!!
Uliuona ujinga kama huo enzi za mkapa na kikwete!!?SI walitulia tu wakafanya kazi zao!!!
Nitakua was mwisho kuamini eti samiah anapigiwa kampeni za urais mapema hivi Ili apite Kwa kishindo!!
Anapigiwa I'll aanguke Kwa kishindo!!