Pre GE2025 Asiyekubalika kwao anawezaje kushawishi Wananchi Wamchague Samia?

Pre GE2025 Asiyekubalika kwao anawezaje kushawishi Wananchi Wamchague Samia?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
MKuu unajua Nyie sijui Huwa mna macho ya kuona mambo vizuri!

Jpm aliimbwa kuliko hata huyu mama!Tena "Bungee la miaka Saba"likatamkwa Kwa mihemko!!!

Ukiona kiongozi anapigiwa kampeni kabla ya muda kufika ujue wanaompigia kampeni hawamtaki kabisa!!

Uliuona ujinga kama huo enzi za mkapa na kikwete!!?SI walitulia tu wakafanya kazi zao!!!

Nitakua was mwisho kuamini eti samiah anapigiwa kampeni za urais mapema hivi Ili apite Kwa kishindo!!

Anapigiwa I'll aanguke Kwa kishindo!!
 
MKuu unajua Nyie sijui Huwa mna macho ya kuona mambo vizuri!

Jpm aliimbwa kuliko hata huyu mama!Tena "Bungee la miaka Saba"likatamkwa Kwa mihemko!!!

Ukiona kiongozi anapigiwa kampeni kabla ya muda kufika ujue wanaompigia kampeni hawamtaki kabisa!!

Uliuona ujinga kama huo enzi za mkapa na kikwete!!?SI walitulia tu wakafanya kazi zao!!!

Nitakua was mwisho kuamini eti samiah anapigiwa kampeni za urais mapema hivi Ili apite Kwa kishindo!!

Anapigiwa I'll aanguke Kwa kishindo!!
Duuuuh !!
 
Back
Top Bottom