Pre GE2025 Asiyekubalika kwao anawezaje kushawishi Wananchi Wamchague Samia?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hongera Erythrocyte kwa ushindi wa Uchawa Bora 2023 humu JF!
 
Muwe watu timamu basi kwani ushindi huletwa na ushawishi??
 
Chawa anawezaje kumpa za uso Waziri Mkuu ?
Usingekuwa chawa usingeandika eti Mh. Majaliwa hakubariki wakati Chadema na vyama vyote vya upinzani viliogopa kupambana nae. Poa huwezi kukubali kuwa Mh. Mbowe (anayekubalika sana kwao! Ahahahahaha!!) alishindwa VIBAYA SANA na Kijana mdogo Mwl. Saasisha Mafuwe! Ahahahahaha! Kwa chawa HAWEZI kukubali! Ahahahahaha!!!
 
Jomba unafuatilia mambo ya CCM kuliko ya saccoss yenu ya CHADEMA... vipi mchango wa kusaidia HANANG mmefikisha Tsh ngapi?
 
JF kuna haja sana ya kuangalia afya ya akili kwa wanaojiunga humu .
 
Walioanza kampeni mapema watakatwa bila kujali nafasi zao za awali.

Tusilaumiane.
 

Kama Waziri mkuu ni chawa , nani atapona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…