Asiyoyajua Yericko Nyerere katika utafiti wa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar

Asiyoyajua Yericko Nyerere katika utafiti wa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar

Anthony,
Nimeandika unaweza ukaangalia hapo chini:

1. PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
2. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
3. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
4. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
5. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
6. Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
7. Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
8. Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
9. Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam
10. Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
11. Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
12. The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam
13. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
14. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
15. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
16. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
17. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
18. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
19. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
20. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
21. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
22. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
23. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
24. 14. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
25. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
26. Awards: Several Awards
27. Visiting Scholar: (2011)
28. University of Iowa, Iowa City, USA
29. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
30. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
31. OTHER COUNTRIES VISITED
32. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Hapo namba 10 huyo ilunga alikuwa hatari sana kwa mustakabali wa nchi alihimiza mauaji ya mapadri z'bar. Nashangaaa umemwandikia hadi ngano za kumsifu hakika ewe mzee Mohamed Said huipendi nchi yetu.
 
Pamoja na ukweli wa hoja zako lkn unaonekana ww ni mbinafsi,mchoyo na mwenye wivu wa dhahiri...na unanisononesha zaidi kwa kua umri umeshakwenda,laiti ungelikua kijana ningesema maneno mabaya zaidi.

Mara nyingi unapoteza nguvu nyingi kubishana na kazi za Yericko kwa nukta nukta za ukweli unaoujua.
Ombi langu kwako kusanya kila unachokijua halafu tuandikie kitabu ukisambaze na tukisome kama alivyofanya Yericko kuliko hili povu lako la kila mara.

Mm binafsi nimesoma historia ya mapinduzi ya Zanzibar ktk vitabu vitatu tofauti na vyote vina vitu vinakinzana na kingine..Lkn pia nimesoma historia ya Zanzibar kupitia makala za Joseph Mihangwa ktk gazeti la RAI .Na kwa kutumia akili yangu nimekubaliana na aliyoandika Mihangwa kwa 65% zaidi ya kwenye vitabu nilivyosoma.

Sasa baba ANDIKA ..ANDIKA baba tusome.

HUU UNAFIKI WA KUJUA VITU HALAFU UNAA NAVYO MPAKA UFE NAVYO UTATUSAIDIA NINI SISI WA KIZAZI HIKI.
BILA YERICKO KUANDIKA UNGELIBISHANIA WAPI.
Wewe bwana busara zako zimetengemaa kabisa zinafaa kutizamwa kwa jicho la tatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii lugha unayoitumia
inatia ukakasi wa hata hicho
unachoita kitabu.

Maneno yako ya chuki
Kwa mzee Mohamed Said yanaonesha ni namna gani maandishi yake yanavyowaumiza wengi mfano wako.

Poleni sana ukweli utashinda siku zote.

Mohamed Said unajua wewe ni mtu mzima acha utoto wa kijinga,

Mimi nakupa link ya Library of Congress iliyo na kitabu changu wewe unafanya ujinga kwakuleta link yako isiyofunguka?

Wanajamvi nadhani mnaona huyu mzee alivyo mzandiki wa kiwango cha lami....


Link niliyompa hii hapa..... https://catalog.loc.gov/vwebv/search?searchArg=ujasusi+wa+kidola&searchCode=GKEY^*&searchType=0&recCount=25&sk=en_US
 
Kijana chuki yako ni ya kiwango cha Lami.

Maneno ya chuki na hasira kwa Mzee Mohamed Said kwake ni kama daktari anayemchoma sindano mtoto anayepiga kelele za kilio.

Kilio na kelele hazimfanyi daktari aache kumchoma sindano. Acha alie lakini dawa lazima iingie apone.

Ashatukanwa sana hapa JF lakini hakushughulika na matusi bali ameendelea kutoa darsa kwa wanajamvi.

Pole sana vumilia utaelewa somo kidogo kidogo.

Pole mzee wangu, utaumia sana mwaka huu, kimsingi unaonyesha tu ulivyokumbatia hasira za mkizi kifuani... Na uzee huo utajiua tu mkuu...

Kitabu cha Yericko Nyerere kimetambuliwa ndani ya Library of Congress, naamini baada ya kujua hili utahamisha tena magoli kama kawaida yako, ulianza kwakusema Yericko hajui historia ya Zanzubar, ukapewa historia, ukasema kakopi, ukapewa nyaraka, ukasema kuna makosa ya uandishi katika herufu, ukaambia unachokisoma sicho kitabu, ukasema kitabu hujakisoma, ukashauriwa ukisoma, sasa umesema kitabu changu hakipo LC....


Haya nakupa link hii ukajisomee na roho yako mbaya ewe lizee.... https://catalog.loc.gov/vwebv/search?searchArg=ujasusi+wa+kidola&searchCode=GKEY^*&searchType=0&recCount=25&sk=en_US
 
Hao uliwataja na kuweka picha zao wana vitabu??? Tutajie ili tulinganishe na vya Yericko then tukomfem
 
Torch,
Ungesoma kitabu ungekuwa katika hali nzuri sana ya kuchangia mjadala huu.
Kuhusu kitabu sawa. Ila sio huyo MTU unamuita ilunga impact imeathiri familia zetu na viongozi wetu wa kikristo.

Nakuheshimu sana ila kukubaliana na huyo mtu (Mungu amsamehe maaana ni marehemu), kwangu napoteza credibility ya kuamini chochote toka kwako.
 
Ridhwani...
Una jina zuri sana na naamini unajua maana yake.

Huna sababu ya kunitishia kutukana.

Ikiwa hiyo ndiyo hulka yako usijuzuie fanya lile linalokupendeza
usijali uzee wangu.

Ikiwa umelelewa katika nyumba isiyo na adabu nani wa kukubadili
katika umri huo uliofika?

Mimi sijaandika historia ya Mapinduzi ya Zanzibar lakini nilikuwa
Mtafiti msaidizi wa Dr. Harith Ghassany wakati anatafiti kitabu
chake maarufu, ''Kwaheri Uhuru Ukoloni Kwaheri Uhuru.''

Inaelekea hukijui kitabu hiki kutokana na jinsi ulivyotoa fikra zako
hapa Majlis na kusema unaiamini historia iliyoandikwa na Mihangwa.

Kwa taarifa yako Mihangwa anaandika makala kuhusu Zanzibar hana
kitabu alichoandika kuhusu Zanzibar.

Kuandika kitabu hili ni jambo lingine kabisa.

Hiyo mosi.

Pili nimeandika na kuzungumza kuhusu historia ya Mapinduzi na
naweza kukuwekea link hapa zikusaidie.

Tatu sina khiyana dhidi ya Yericko ila naandika kusahihisha yake
ambayo mimi naona yamekosewa na hii ni kawaida katika duru
za uandishi na duru za kisomi.

Nne nakushauri tufanya mjadala wenye adabu na ustaarabu hizi
lugha za ''povu,'' zitumie kwa watu wengine kwangu si mahali pake.

Kwa kuhitimisha nakuomba urejee tena katika post yangu na angalia
zile picha za Mzee Mkwawa na Victor Mkello.

Katika vitabu ulivyosoma vya historia ya Zanzibar umepatapo kuona
mahali popote wametajwa?

Wale na wengine sikuwaeleza ndiyo waliokuwana funguo za mapinduzi
ya Zanzibar ya mwaka wa 1964.

Hata Mihangwa hakuwa anawajua hawa.
Kwa mara ya kwanza kawasikia kwa Dr. Harith Ghassany.
nimeandika nikafuta sababu.. unaboa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu kitabu sawa. Ila sio huyo MTU unamuita ilunga impact imeathiri familia zetu na viongozi wetu wa kikristo.

Nakuheshimu sana ila kukubaliana na huyo mtu (Mungu amsamehe maaana ni marehemu), kwangu napoteza credibility ya kuamini chochote toka kwako.
Torch,
Sijajua unakusudia nini unaposema kuwa nakubaliana na Sheikh Ilunga.
Mimi nilichofanya katika kitabu hicho nimeandika maisha yake kama nilivyomfahamu.

Ndiyo nikakushauri usome kitabu ujue kinasema nini.
.
 
Pamoja na ukweli wa hoja zako lkn unaonekana ww ni mbinafsi,mchoyo na mwenye wivu wa dhahiri...na unanisononesha zaidi kwa kua umri umeshakwenda,laiti ungelikua kijana ningesema maneno mabaya zaidi.

Mara nyingi unapoteza nguvu nyingi kubishana na kazi za Yericko kwa nukta nukta za ukweli unaoujua.
Ombi langu kwako kusanya kila unachokijua halafu tuandikie kitabu ukisambaze na tukisome kama alivyofanya Yericko kuliko hili povu lako la kila mara.

Mm binafsi nimesoma historia ya mapinduzi ya Zanzibar ktk vitabu vitatu tofauti na vyote vina vitu vinakinzana na kingine..Lkn pia nimesoma historia ya Zanzibar kupitia makala za Joseph Mihangwa ktk gazeti la RAI .Na kwa kutumia akili yangu nimekubaliana na aliyoandika Mihangwa kwa 65% zaidi ya kwenye vitabu nilivyosoma.

Sasa baba ANDIKA ..ANDIKA baba tusome.

HUU UNAFIKI WA KUJUA VITU HALAFU UNAA NAVYO MPAKA UFE NAVYO UTATUSAIDIA NINI SISI WA KIZAZI HIKI.
BILA YERICKO KUANDIKA UNGELIBISHANIA WAPI.
Huyu jamaa ni muumini wa mambo ya Oman na anaamini utafiti na elimu ya Dubai ipo juu! Nchi iliyoanza kuwana chuo 1980s!
 
Pamoja na ukweli wa hoja zako lkn unaonekana ww ni mbinafsi,mchoyo na mwenye wivu wa dhahiri...na unanisononesha zaidi kwa kua umri umeshakwenda,laiti ungelikua kijana ningesema maneno mabaya zaidi.

Mara nyingi unapoteza nguvu nyingi kubishana na kazi za Yericko kwa nukta nukta za ukweli unaoujua.
Ombi langu kwako kusanya kila unachokijua halafu tuandikie kitabu ukisambaze na tukisome kama alivyofanya Yericko kuliko hili povu lako la kila mara.

Mm binafsi nimesoma historia ya mapinduzi ya Zanzibar ktk vitabu vitatu tofauti na vyote vina vitu vinakinzana na kingine..Lkn pia nimesoma historia ya Zanzibar kupitia makala za Joseph Mihangwa ktk gazeti la RAI .Na kwa kutumia akili yangu nimekubaliana na aliyoandika Mihangwa kwa 65% zaidi ya kwenye vitabu nilivyosoma.

Sasa baba ANDIKA ..ANDIKA baba tusome.

HUU UNAFIKI WA KUJUA VITU HALAFU UNAA NAVYO MPAKA UFE NAVYO UTATUSAIDIA NINI SISI WA KIZAZI HIKI.
BILA YERICKO KUANDIKA UNGELIBISHANIA WAPI.
Bwana Ridhiwani mbaraka

Mbona mzee wetu Mohamed said ameandika kitabu ambacho hajaacha kitu ktk historia ya Zanzibar.
Unamtuhumu kwa usiyoyajua lkn inaonekana umeweka nia ya kumkosoa ndio maana hata hapo alipoandika kuwa yericko amecopy sehemu ya maandiko yake.
Huulizi ameandika wapi ambako bwana yericko amecopy

Tafuta kitabu KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU

Hata mtandaoni kipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana Ridhiwani mbaraka

Mbona mzee wetu Mohamed said ameandika kitabu ambacho hajaacha kitu ktk historia ya Zanzibar.
Unamtuhumu kwa usiyoyajua lkn inaonekana umeweka nia ya kumkosoa ndio maana hata hapo alipoandika kuwa yericko amecopy sehemu ya maandiko yake.
Huulizi ameandika wapi ambako bwana yericko amecopy

Tafuta kitabu KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU

Hata mtandaoni kipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana Ridhiwani mbaraka

Mbona mzee wetu Mohamed said ameandika kitabu ambacho hajaacha kitu ktk historia ya Zanzibar.
Unamtuhumu kwa usiyoyajua lkn inaonekana umeweka nia ya kumkosoa ndio maana hata hapo alipoandika kuwa yericko amecopy sehemu ya maandiko yake.
Huulizi ameandika wapi ambako bwana yericko amecopy

Tafuta kitabu KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU

Njti..
Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru ameandika Dr. Harith Ghassany mimi nilikuwa Research Assistant yaani Mtafiti Msaidizi.


Hata mtandaoni kipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na ukweli wa hoja zako lkn unaonekana ww ni mbinafsi, mchoyo na mwenye wivu wa dhahiri. Na unanisononesha zaidi kwa kuwa umri umeshakwenda; laiti ungelikuwa kijana ningesema maneno mabaya zaidi.

Mara nyingi unapoteza nguvu nyingi kubishana na kazi za Yericko kwa nukta nukta za ukweli unaoujua.

Ombi langu kwako kusanya kila unachokijua halafu tuandikie kitabu ukisambaze na tukisome kama alivyofanya Yericko kuliko hili povu lako la kila mara.

Mm binafsi nimesoma historia ya mapinduzi ya Zanzibar ktk vitabu vitatu tofauti na vyote vina vitu vinakinzana na kingine lkn pia nimesoma historia ya Zanzibar kupitia makala za Joseph Mihangwa ktk gazeti la RAI.

Na kwa kutumia akili yangu nimekubaliana na aliyoandika Mihangwa kwa 65% zaidi ya kwenye vitabu nilivyosoma.

Sasa baba ANDIKA. ANDIKA baba tusome.

HUU UNAFIKI WA KUJUA VITU HALAFU UNAA NAVYO MPAKA UFE NAVYO UTATUSAIDIA NINI SISI WA KIZAZI HIKI.
BILA YERICKO KUANDIKA UNGELIBISHANIA WAPI.
Ndugu you hae made my day. Comment yako kwa mzee Mohamed imenikosha sn. Mzee amekuwa ni mtu wa kuvizia nkukosoa palipokosewa, lakini yeye hata kama aliujua ukweli hajawahi kuuandika yeye kama yeye na kiweka kumbukumbu kwa vizazi. Ingawa hii ni post ya kitambo, ila nimeona mawazo yako ni chanya sn. Nyie ndio watu mnaotakiwa kuwepo humu JF.

Ridhwani Mbaraka
 
Amewasahau mtu km bint kamba muasisi mwanamke wa chama Cha TANU
 
Back
Top Bottom