ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Wasalaam
Askari polisi aliyeenda chuo akasoma akaelewa ukakamavu anawezaje kufyatua risasi ya moto na kumpiga mwandamanaji Mtanzania aliyebeba bango?
Askari ameapa kulinda raia na mali zao, Je kuwapiga risasi ya vichwa Watanganyika hawa wa simiyu ni haki?
Huyo askari ni gaidi, akamate ashitakiwe Kwa makosa ya ugaidi
Hana tofauti na Osama au Jihad John
Askari polisi aliyeenda chuo akasoma akaelewa ukakamavu anawezaje kufyatua risasi ya moto na kumpiga mwandamanaji Mtanzania aliyebeba bango?
Askari ameapa kulinda raia na mali zao, Je kuwapiga risasi ya vichwa Watanganyika hawa wa simiyu ni haki?
Huyo askari ni gaidi, akamate ashitakiwe Kwa makosa ya ugaidi
Hana tofauti na Osama au Jihad John