Askari amuua askari mwenzie Mtwara


Jamaa wanajua kulindana sana….kwa haya maelezo kesi imeisha hapo….ukisoma kwa umakini hii habari utajua kuna vitu vingi vimefichwa!
 
Mungu wetu halali, huyo mwizi anakila sababu ya kuishi kama police wengine.
 
wanaishaje wakati wanauana wawili depo wapo 3000 bado mwezi waje mtaani!

ww endelea kukwapua simu za watu na piki piki watakushika tu siku moja.
😆😆😆
 
Masai wa zanziber waajiriwe jeshini tu, watunyooshe
 
Wakubwa waache Kutembea na Wake za Askari wadogo tafadhali kwani wenye Wake hubeba Roho za Visasi ambavyo huvisindikiza katika Matukio yatakayowabeba kuwa ni Oparesheni tu za Kijeshi ambapo Mmoja akifa / akiuwawa hiyo itaitwa ni bahati mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…