Halafu kuna wapuuzi eti wanajaribu kutetea huo uhuni!!!Hizo mbinu walisoma zamani kabla ya tekinolojia na wao wanaendelea kuzitumia ka kukariri bila kujua teknolojia inawaumbua, kwa mwendo huo kamwe hatutafika maana ni full mawazo mgando
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu kuna wapuuzi eti wanajaribu kutetea huo uhuni!!!Hizo mbinu walisoma zamani kabla ya tekinolojia na wao wanaendelea kuzitumia ka kukariri bila kujua teknolojia inawaumbua, kwa mwendo huo kamwe hatutafika maana ni full mawazo mgando
Hoja sio kama alifanikiwa kuweka au hapana bali hoja ni dhamira ya huyo jamaa!! Hoja yako ni sahihi, kutokana na suruali ya Mosha kubana, inawezekana zoezi lilishindikana lakini je, si inaonesha alikuwa na hiyo nia?Nimeangalia Mara 17 but sijaelewa. Suruali ya mosha imembana saaana kuwekewa kitu so jambo rahisi
Hivi sheria zinasemaje!? Hawatakiwi wawe na vitambulisho hawa,!? Hawatakiwi wavioneshe kabla ya kufanya chochote!? Hwatakiwi wawe na search warranty!? Au mimi ndo sielewi!? Kama walikuwa navyo vyote hivyo imekuaje kuaje mpaka wakaanza kushikana mashati na huyo Mosha!?
Msingi wa hoja hii umeuelewa lakini mkuu?
Mleta sredi mzushiNimeangalia Mara 17 but sijaelewa. Suruali ya mosha imembana saaana kuwekewa kitu so jambo rahisi
local library of Brooklyn , hahahahahaha!!!Davis aliingia kichwa kuchwa baada ya kukutana na mtaalamu wa social media networks. Aliinvest hela nyingi kuanzisha Swahili TV. Baada ya Mitanni kufika ndipo alipogundua mtaalamu aligraduate kutoka local library of Brooklyn Community.
Kwa Hiyo hata Mosha mwenyewe hawezi kuweka kitu mfukoni mwake?Nimeangalia Mara 17 but sijaelewa. Suruali ya mosha imembana saaana kuwekewa kitu so jambo rahisi
Hivi sheria zinasemaje!? Hawatakiwi wawe na vitambulisho hawa,!? Hawatakiwi wavioneshe kabla ya kufanya chochote!? Hwatakiwi wawe na search warranty!? Au mimi ndo sielewi!? Kama walikuwa navyo vyote hivyo imekuaje kuaje mpaka wakaanza kushikana mashati na huyo Mosha!?
Nimeangalia kwa makini clip ya askari waliojifanya kuwa wa IMMIGRATION waliokwenda kwa Davis Mosha,Mmoja wa hao "maaskari" aliyevaa shati la kijivu alimsogelea kwa kumvizia Davis Mosha wakati wakibishana na hao "askari feki" akamuwekea kitu mfukoni halafu akamsukuma. Tumesikia kuwa Davis Mosha alipelekwa polisi.....Ninahisi kuwa aidha walimtilia bangi au Dawa za kulevya au simu waliyosema aliwanyang'anya wao. Aliyevaa shati la kijivu anafanana na yule aliyemtolea Nape Nnauye bastola mwaka jana.
Inasikitisha kuona nchi yetu inaharibiwa na hao askari wa Makonda. Huo ni mfano mwingine wa aina ya uvamizi unaofanywa na askari wa Makonda, ukianzia Clouds TV, Utekaji wa Roma Mkatoliki na uvamizi kwenye kituo cha mafuta cha Peter Zakaria huko mkoani Mara. Aina hiyo ya uvamizi na utekaji unafanana kwa namna moja au nyingine hivyo inaonekana mpangaji wa hayo maovu inawezekana akawa mtu mmoja ambaye si mwenye akili kabisa, Tumefikia pabaya kwa mambo yanayotokea nchini mwetu imekuwa kama Uganda wakati wa Idi Amin na Malyamungu walivyokuwa wakitumia vikosi vya State Bureau kuteka na kuua (au kupoteza watu....Kama anavyosema Jerry Muro) Hiyo link hapo chini utaona video yote. Kama utaclick na itashindwa kufanya kazi copy
Aaaah eti local library, kwani alimuonyesha vyeti.Davis aliingia kichwa kuchwa baada ya kukutana na mtaalamu wa social media networks. Aliinvest hela nyingi kuanzisha Swahili TV. Baada ya Mitambo kufika ndipo alipogundua mtaalamu aligraduate kutoka local library of Brooklyn Community.
Ni mfia chama kwahiyo hakuna ishu hapo.Tajiri wa Lemutuz na Bashite huyo! Case closed
Ndo kusema ni Mbuzi wa bwana Heri,shambani mwa bwana HeriNi mfia chama kwahiyo hakuna ishu hapo.
Swadakta shekhe!Ndo kusema ni Mbuzi wa bwana Heri,shambani mwa bwana Heri
Alivaa modo ngumu kuwekewa kitu teh tehNimeangalia Mara 17 but sijaelewa. Suruali ya mosha imembana saaana kuwekewa kitu so jambo rahisi
Unasema kiba100 kagradueti chuo cha kata Marekani?Davis aliingia kichwa kuchwa baada ya kukutana na mtaalamu wa social media networks. Aliinvest hela nyingi kuanzisha Swahili TV. Baada ya Mitambo kufika ndipo alipogundua mtaalamu aligraduate kutoka local library of Brooklyn.