Askari hawataki kunipeleka mahakamani, nifanyeje?

Askari hawataki kunipeleka mahakamani, nifanyeje?

Hebu leta chai kwanza tunywe.
Umesikia ccm imesema haitajishughulisha na majambazi wa eskerewuu manake hiyo ni issue ya sirikali? Umejiandikisha kuuza kura kwanza?

af yule jamaa Rugemarira sijui ana matatizo gani, mi nilimpa acc no yangu nashangaa sijui kwanini namba hazijabadilika mpaka now.
 
Nilitegemea ungekuja na majibu ya maswali ya maada husika,then ungemalizia na hoja yako othmorine always take the sweet and deny the bitter
 
wewe unachotakiwa ni kukosoa jibu langu na si kuleta majibizano yasiyo na msingi.
Nasubiri kuona jibu lako nijue wapi nimekosea.

swala si kukukososa maana hata kuingia kwenye mada kwenyewe haujaingia... naanzia wapi kukukosoa...mimi sishida yangu kukuzingua! lakini nataka tu uelewe watu jamaa anataka msaada gani
 
Wakuu naombeni msaada wa kisheria,mwezi wa 8 nilikamatwa na police na hatmae ndg zangu kunitoa kw dhamana.hata hvo walniambia lazma niwe na riport central police kila baada ya wik ,na toka mwzhuo nmekua narpot. Kwa kua nakaa kigoma na ndko nafanyia biznes zangu nimeona nwaombe niwe narpot kulekule hata hvo police wamekataa.mazingira ya kesi yangu ni ya kubambikiziwa .je sheria inaruhusu kufungua shaur mahakamani dhidi ya police kwa ucheleweshaji wa kunipeleka mahakamani,?je kwa kua mlalamikaji hawaniambii. je kama ntaonekana sna hatia police naweza wafungulia kesi ya madai mana naingia hasara nyngi na swala hili? Naombeni ushauri wakuu?

Jeshi la Polisi lina taratibu zake.

Kama una malalamiko yoyote yale, andika barua kwa Kamanda wa Polisi wa Wilaya (OCD), na iwapo hutaridhika na uamuzi wake, andika barua nyingine kwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC). Ukiona hilo halitoshi, nenda ngazi ya juu zaidi, yaani Makao Makuu.

Hakuna jambo ambalo askari wa ngazi za chini wanalichukia kuliko kulalamikiwa ngazi za juu. Utapata haki yako.

Pia, una haki ya kupata msaada wa kisheria. Nenda kwenye vituo vinavyotoa msaada wa kisheria, kama vile NOLA. Hapo utatetewa ipasavyo. Si lazima usubiri kesi iende mahakamani ndipo upate msaada wa kisheria.
 
swala si kukukososa maana hata kuingia kwenye mada kwenyewe haujaingia... naanzia wapi kukukosoa...mimi sishida yangu kukuzingua! lakini nataka tu uelewe watu jamaa anataka msaada gani

nieleweshe bas...
 
Mkuu asante kw ushauri,hao NOLA wanapatika mitaa gani dar,? Japo bado maswali ya msingi hayajibiwa!
 
tatizo unaomba ushauri lkn hujasema ulibambikwa kosa gani. fafanua.

kama hakuna kesi, inawezekana ni jalada la uchunguzi, wanafuatilia nyendo zako.cap 322, inawalinda polisi hata kama wamekukamata kimakosa they are neither criminally liable nor civil liable.
 
Take note from the original document ,soma uelewe,nimekwambia wamenibambikizia kesi sasa wewe unataka ujue case ndyo utoe ushauri.msomi makini anaelewa swali ndpo anajibu wakati mwingne u can assume any case then utoe mawazo yako,hivi wasomi wa sasa elimu yenu inakwenda vchwan au?
 
Wakuu naombeni msaada wa kisheria,mwezi wa 8 nilikamatwa na police na hatmae ndg zangu kunitoa kw dhamana.hata hvo walniambia lazma niwe na riport central police kila baada ya wik ,na toka mwzhuo nmekua narpot. Kwa kua nakaa kigoma na ndko nafanyia biznes zangu nimeona nwaombe niwe narpot kulekule hata hvo police wamekataa.mazingira ya kesi yangu ni ya kubambikiziwa .je sheria inaruhusu kufungua shaur mahakamani dhidi ya police kwa ucheleweshaji wa kunipeleka mahakamani,?je kwa kua mlalamikaji hawaniambii. je kama ntaonekana sna hatia police naweza wafungulia kesi ya madai mana naingia hasara nyngi na swala hili? Naombeni ushauri wakuu?

Sema kosa lako wewe punguwani.Sheria ziko wazi polisi wanatakiwa wakufikishe mahakamani 24hrs au wakuachie wewe utakuwa jambazi
 
Toa pesa mkuu. Hilo ndio swala wanalotaka hapo... Au wewe hauwajui hawa polisi wa tanzania?
 
Punguani ni kitu gani,maneno ya kishetan haya yetoka wapi ,kuna ushoga fulani katika neno punguani hasa kwa mleta neno punguani,dada usitumie lugha za kejeli kama huna cha kujibu.
 
Hao askari wana wakubwa wao, kama ni kituoni OCS hakusaidii, yupo, OCD, Mkoani yupo RCO na RPC, wapo wakubwa wao makao makuu ya jeshi na kitengo cha malalamiko kipo, fuata hayo, watachunguzwa na hatua stahiki zitachukuliwa, vinginevyo waone wanasheria watafanya utaratibu, hao askari waitwe mahakamani kueleza kwa nini wanakunyima uhuru wa kwenda utakako, the matter you have produced here it amount to deprive of your freedom of movement. imeeleweka???
 
Naweza sema,umetoa mawzo mjengo! Nataka kusema ofisi za police nyngi zmejaa rushwa ,na kwa ukweli rushwa hzo ni za kimtandao,nikimanisha kua police mdogo mara nyngi hula rushwa kw ktmwa na mkbwa wake, pale central police nenda vyooni uone dustbin zilvyojaa
bahasha tupu mana wapokea rushwa ndy site yao na najiuliza kwanin serikari haiweki secrty camera coridoni.police inanuka kwa rushwa
 
Back
Top Bottom