Askari JWTZ Arusha amuua mfugaji kwa risasi

Serikali mbn kama inatka kushindwa katika swala la ulinzi na usalama
Inashindwa kivipi mkuu? Au ulitaka ianze kumfuatilia kila anachofanya kila sehemu atakapokuwa? Wangejua vipi maisha ya mtuhumiwa na mambo yake ya moyoni na ku predict kinachokuja kutokea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…