Kila mtu na nafsi yakeAkitoroka familia yake yote inakwenda jela na kazi ngumu na mateso, hata hao askari kama kweli wamefanya uasi ndugu zao kule watakiona cha mtema kuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu na nafsi yakeAkitoroka familia yake yote inakwenda jela na kazi ngumu na mateso, hata hao askari kama kweli wamefanya uasi ndugu zao kule watakiona cha mtema kuni.
Waw! Kamanda mtoro ndiye atakayevujisha siri za jeshi la "Kiduku"Kamanda ndio hataki kutoroka?
Sio rahisi kivile. Labda iwe hawajaingia Ukraine.Intelligence ya kiduku atawapata tuu
Sentensi ya kwanza hapo 👆👆 adhabu haiwezi kutekelezwa tena;hao wana kesi ya uhaini na adhabu yao ni kunyongwa.
hao hawarudi Korea wala kwenda Urusi.
Kwanini mkuu?Hi habari uwenda ikawa fake
Probably wanaweza kuchukuliwa na mahasimu wao South Korea.Watatimkia Ukraine hao
Unazijua Propaganda na nguvu yake ktk vita?.Hawa hawarudi korea wala urusi. Kiduku kwisha habari yake. Wanaenda expose korea ya kiduku yaan marakan na watuye wamepata pakuanzia
Kumbe ni madai?Kuna madai ya uasi wa askari 18 Kati ya 40 wa Korea Kaskazini huko Urusi, askari hao waliondoka kituo chao(post) huko Kursk na kutokomea kusikojulikana, inadaiwa askari wa Urusi wanawatafuta
![]()
Putin's North Korea Plan Failing? Troops Reportedly Defecting From Positions On Ukraine's Border
Ukrainian officials released a video allegedly showing North Korean soldiers lining up to collect Russian military clothes and bags at an unknown location. However, the authenticity of the video couldn’t verified the footage independently., Europe News - Times Nowwww.timesnownews.com
Watu mnajua sana kuchekesha!"... inadaiwa askari wa Urusi wanawatafuta...". Malizia maelezo vizuri; " ili wawauwe... ".
Huo ndio ukweli Mkuu. Wakikamatwa hakuna adhabu nyingine zaidi ya kuuliwa. Wanachotafutiwa ndio hiko hakuna kingine.W
Watu mnajua sana kuchekesha!
North Korea ni gereza la wazi. Kila mwenye akili timamu anatamani kutoroka kama atapata nafasi.NoHapo wanaona kama wametoka kifungoni huko North Korea
Wao sio wajinga wapatikane kirahisiHawa wakipatikana adhabu yao ni moja tu
Kunyongwa