Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ndio huo nyumba alijenga kikweteUtakufa na kijiba cha roho
Nadhani ishu za kimkataba.Sababu za kuzuia wasizitumie ilikuwa nini??
Ova
Kipindi cha Kikwete,alijenga muwekezaji.Ukweli ndio huo nyumba alijenga kikwete
Utulie kikosini kwako, ukijichanganya polisisiem hawatakuacha eti kwa vile wew private au afisa wa JW, Hawa watu wanatumika vibaya na ccmAlafu siku ya uchaguzi watupige virungu😭😭😭😭
Sababu za kutokutumika ni mabadiliko ya sera ya serikali iliyozuia wawekezaji kuingia mkataba na majeshi likiwemo la polisi, nyumba zilianza kujengwa na kampuni ya Mara World Limited kabla ya hiyo sera kwa hiyo kulikuwa na matatizo katika mkataba yaliyoleta mkwamo wa zoezi zima la askari kuhamia kwenye hizo nyumba.Sababu za kuzuia wasizitumie ilikuwa nini??
Ova
Ndio maana wakistaf maisha yao ni shida tupu ni laanaUtulie kikosini kwako, ukijichanganya polisisiem hawatakuacha eti kwa vile wew private au afisa wa JW, Hawa watu wanatumika vibaya na ccm