Askari kumpiga Mbunge ni sawa na Mgonjwa kumpiga Daktari

Askari kumpiga Mbunge ni sawa na Mgonjwa kumpiga Daktari

So umeshackia laxma dola itumike vixur? Kwa kigezo cha inkambensi adivanteg?
1. Mbunge ni Kiongozi.
2. Mbunge ni mwakilishi wa umma
3. Mbunge ni mtunga sheria zinazohusu maisha yetu na ya askari pia.
4. Mbunge ni mtu anayehishimika na anaheshimiwa. Kabla ya kutaja jina lake tunaanza na neno Mheshimiwa (Honarable).

Ni nini kinapelekea hadi Mbunge apigwe kama kibaka tena mbele ya umma uliomuamini na uliomchagua?

Je, umuhimu wa hawa watu kwa hayo manne niliyoyataja umeondoka?

Matatizo yetu kama wananchi au askari yatawakilishwaje kunakohusika endapo tutatia vilema wabunge wetu?

Je, hatuna njia mbadala ya kudeal na mbunge mkosefu bila kumpiga au kumtia kilema?

Hili linatutia doa sana mbele ya jamii na dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mbunge ni Kiongozi.
2. Mbunge ni mwakilishi wa umma
3. Mbunge ni mtunga sheria zinazohusu maisha yetu na ya askari pia.
4. Mbunge ni mtu anayehishimika na anaheshimiwa. Kabla ya kutaja jina lake tunaanza na neno Mheshimiwa (Honarable).

Ni nini kinapelekea hadi Mbunge apigwe kama kibaka tena mbele ya umma uliomuamini na uliomchagua?

Je, umuhimu wa hawa watu kwa hayo manne niliyoyataja umeondoka?

Matatizo yetu kama wananchi au askari yatawakilishwaje kunakohusika endapo tutatia vilema wabunge wetu?

Je, hatuna njia mbadala ya kudeal na mbunge mkosefu bila kumpiga au kumtia kilema?

Hili linatutia doa sana mbele ya jamii na dunia.
Mbunge pia anapaswa kujiheshimu sana kuliko mtu yeyote. Hongera KM kwa kutoa kipigo safi amazing kilichonyooka!
 
Umepotoka mkuu. Mbunge ni binadamu na kama kawaida binadamu wapo vichaa na wenye akili timamu. Ukiona mbunge anakwenda kutafutia sifa magereza ujue huyo ni kichaa na hana akili. Mbunge wako anatafuta popularity Magereza? Unafahamu kuna wafungwa kiasi gani na wamefungwa kwa makosa gani? Hivi unafahamu kuwa kuna watu wakitoroka humo wakawa uraiani kwa wiki moja tu madhara yake ni makubwa kupindukia? Acheni kujipa moyo. Sheria haina mkubwa. Fuateni taratibu na sheria za nchi mtafanikiwa. Mnachofanya cha kuwafurahisha wazungu hakitawasaidia maana watanzania hawatawaamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hujanipata, Sijasema wasichukuliwe hatua. Hoja yangu ni aina na muda wa hatua ! Kimsingi, tutumie vyombo vyetu kwa uangalifu zaidi.
 
Umeandika upuuzi mtupu,kwahiyo kama ustaarabu ungetumika hao wafungwa wangetoroka?Acheni ujinga,hii nchi yetu sote!Matumizi ya nguvu bila sababu kisa tu unadeal na wapinzani ni ukichaa!
Acheni ukichaa kwani walipokuwa ndani wao mbona waliachiwa bila fujo? Kwani kuna yeyote alifanya fujo ndo wakatolewa? Taratibu zilitimia wakaachiwa kwanini wao wasifate taratibu kama sio kutaka watajwe kisa mwaka wa uchaguzi? Na wasipokaa sawa watakuwa vilema kwa sifa za kipuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Umepotoka mkuu. Mbunge ni binadamu na kama kawaida binadamu wapo vichaa na wenye akili timamu. Ukiona mbunge anakwenda kutafutia sifa magereza ujue huyo ni kichaa na hana akili. Mbunge wako anatafuta popularity Magereza? Unafahamu kuna wafungwa kiasi gani na wamefungwa kwa makosa gani? Hivi unafahamu kuwa kuna watu wakitoroka humo wakawa uraiani kwa wiki moja tu madhara yake ni makubwa kupindukia? Acheni kujipa moyo. Sheria haina mkubwa. Fuateni taratibu na sheria za nchi mtafanikiwa. Mnachofanya cha kuwafurahisha wazungu hakitawasaidia maana watanzania hawatawaamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watu wanatorokea wapi wakati watu walikuwa wanamsubiri Mwykt nje ya geti? Sielewi hoja yako kiongozi
 
Ni vema na haki kuwaombea corona iwatafune wakoloni weusi na vibaraka wao. Haya mambo yanaudhi sana kutesa na kuzalilisha binadamu wenzio zama hizi za mwanga!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi waafrica bado uncivilized, unampiga mbunge kisa tu ni wa Upinzani...ili upate sifa kwa boss wako.

Mbunge kufika main gate ya taasisi yoyote si dhambi sababu ni yeye pia kiongizi wa umma, hajafanya fujo yoyote unamshusha kwenye gari yake unaanza kumpa kisago... na hata kama akifanya fujo kuna namna ya kumdhibiti bila kumvunja vunja viungo vyake. Huu ni udhaifu sana kwa si tu jeshi letu la police bali wizara nzima ya mambo ya ndani ya nchi.

Then one day unafikiri eti wewe unayefanya hivi unaweza siku moja kujitegemea - sahau - sababu kujitegemea kunaendana na kukabiliana na changamoto zinazokuzuunguka...

Huwezi kujenga uchumi imara wa taifa lako kama hata mambo madogo madogo kama haya yanakushinda kuya address in a good way.
Yaani ufanye upuuzi huku ukijua ili uonewe huruma eti wasiniadhibu sana wataniumiza... Kama hutaki kuumia tii sheria... Acheni sifa kwenye mambo yasiyohitaji sifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Sisi waafrica bado uncivilized, unampiga mbunge kisa tu ni wa Upinzani...ili upate sifa kwa boss wako.

Mbunge kufika main gate ya taasisi yoyote si dhambi sababu ni yeye pia kiongizi wa umma, hajafanya fujo yoyote unamshusha kwenye gari yake unaanza kumpa kisago... na hata kama akifanya fujo kuna namna ya kumdhibiti bila kumvunja vunja viungo vyake. Huu ni udhaifu sana kwa si tu jeshi letu la police bali wizara nzima ya mambo ya ndani ya nchi.

Then one day unafikiri eti wewe unayefanya hivi unaweza siku moja kujitegemea - sahau - sababu kujitegemea kunaendana na kukabiliana na changamoto zinazokuzuunguka...

Huwezi kujenga uchumi imara wa taifa lako kama hata mambo madogo madogo kama haya yanakushinda kuya address in a good way.
Wangetorosha wafungwa pale mngewaita makamanda, ila kwakuwa wamepewa walichostahili eti wanaonewa... Tumieni akili hata kidogo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Mbunge pia anapaswa kujiheshimu sana kuliko mtu yeyote. Hongera KM kwa kutoa kipigo safi amazing kilichonyooka!
Mkuu nawaza hao Askari angekuwepo na Yule alieinuliwa na Mheshimiwa Rais kule Butimba Ile sura tu hiyo Kombinesheni ingeua kabisa...Naumia Sana waliishia kuvunja tu mkono ilipswa ukatike kabisa...

Typed Using KIDOLE
 
Kwa hiyo Mdee na Bulaya walienda kuvunja gereza na wafungwa hatari wangetoroka! Hivyo njia ya kuzuia hill lisitokee ni kuwapiga, vunja mikono na kanyaga vichwani na kifuani?
Mtu akikuambia akili yako imelawitiwa atakuwa kakupa sifa stahili.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni punguani tu atasafiki kuwa Mdee na Bulaya wameonewa.. Labda hawafahamu vizuri au naye akili zipo kama wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyani haoni kundule lake..kwa hiyo wabunge na wafuasi wa chadema walienda kutafuta sifa magereza?

Vipi alipoenda Pole pole na msururu wa gari za serikali au yeye aleinda kumtoa Msigwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshajiuliza walienda kuwachukua Mdee na Bulaya mwanzo walipata shida gani? Tatizo mliwatuma wavuta bangi kwenda kumchukua mwenyekiti,tafutie watu wenye akili mtafanikiwa.

macson
 
Umeandika upuuzi mtupu,kwahiyo kama ustaarabu ungetumika hao wafungwa wangetoroka?Acheni ujinga,hii nchi yetu sote!Matumizi ya nguvu bila sababu kisa tu unadeal na wapinzani ni ukichaa!
Mtu kaja kwako bila ustaarabu we unautoa wapi ustaarabu katika kuilinda nyumba yako? Nguvu iliyotumika kuvamia ndio inayotakiwa kutumika kujilinda ila bahati mbaya kupima nguvu wakati wa tukio sio rahisi maana kila mmoja anajihami. Tumeni watu wenye akili kuwawakilisha sio hao wasagaji mchele.

macson
 
Mtu kaja kwako bila ustaarabu we unautoa wapi ustaarabu katika kuilinda nyumba yako? Nguvu iliyotumika kuvamia ndio inayotakiwa kutumika kujilinda ila bahati mbaya kupima nguvu wakati wa tukio sio rahisi maana kila mmoja anajihami. Tumeni watu wenye akili kuwawakilisha sio hao wasagaji mchele.

macson
 
Umepotoka mkuu. Mbunge ni binadamu na kama kawaida binadamu wapo vichaa na wenye akili timamu. Ukiona mbunge anakwenda kutafutia sifa magereza ujue huyo ni kichaa na hana akili. Mbunge wako anatafuta popularity Magereza? Unafahamu kuna wafungwa kiasi gani na wamefungwa kwa makosa gani? Hivi unafahamu kuwa kuna watu wakitoroka humo wakawa uraiani kwa wiki moja tu madhara yake ni makubwa kupindukia? Acheni kujipa moyo. Sheria haina mkubwa. Fuateni taratibu na sheria za nchi mtafanikiwa. Mnachofanya cha kuwafurahisha wazungu hakitawasaidia maana watanzania hawatawaamini

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanini unapotosha hoja waziwazi nani ametaka kutorosha wafungwa na alifikia hatua gani ya huo utoroshaji watu wamezuiwa kuingia katika compound ya magereza unasema walitaka kutorosha wafungwa. Kiukweli kitendo kilichofanywa na askari magereza ni cha kikatili na uuaji kabisa na mimi nawalaani kwa nguvu zote hao waliohusika na kitendo hicho na ninamuomba Mungu mwingi wa rehema akawalipe sawasawa na mapenzi yake.

Hivi kumvunja mwanamke mkono ambaye hana silaha yoyote nakusema nendeni mkachangiwe na wananchi, kwahiyo askari magereza waliumia saana viongozi wa CDM walipochangiwa na wananchi. Mtu yeyote anayependa amani katika hii nchi ni lazima atalaani kitendo walichofanya askari magereza. Siku zote nilikuwa naamini kuwa hao ni askari wenye weledi lakini kutokana na hicho kitendo wamepoteza sifa kabisa. Nchi hii chombo kinachofanya kazi kwa weledi ni jeshi la wananchi tu hivi vyombo vingine havifai hata kuwepo.
 
Umepotoka mkuu. Mbunge ni binadamu na kama kawaida binadamu wapo vichaa na wenye akili timamu. Ukiona mbunge anakwenda kutafutia sifa magereza ujue huyo ni kichaa na hana akili. Mbunge wako anatafuta popularity Magereza? Unafahamu kuna wafungwa kiasi gani na wamefungwa kwa makosa gani? Hivi unafahamu kuwa kuna watu wakitoroka humo wakawa uraiani kwa wiki moja tu madhara yake ni makubwa kupindukia? Acheni kujipa moyo. Sheria haina mkubwa. Fuateni taratibu na sheria za nchi mtafanikiwa. Mnachofanya cha kuwafurahisha wazungu hakitawasaidia maana watanzania hawatawaamini

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhan ujawahi kuwa mfungwa
Hao wafungwa wa hatari kiasi hata maabusu hawawez kuwaona
 
Back
Top Bottom