Askari kumpiga Mbunge ni sawa na Mgonjwa kumpiga Daktari

Ndio maagizo ya jiwe kuwatia vilema?pumbav
 
Corona ije tu!
 
Hiko kichwa haviendani na maudhui.
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
 
Wengi kila kitu kujitafatia umaarafu wa kisiasa kujiona wako sawa kwa kila jambo na kingine eti kigezo kupigwa wanawake acha wakubumshwe kidogo walitaka jisahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nawaza hao Askari angekuwepo na Yule alieinuliwa na Mheshimiwa Rais kule Butimba Ile sura tu hiyo Kombinesheni ingeua kabisa...Naumia Sana waliishia kuvunja tu mkono ilipswa ukatike kabisa...

Typed Using KIDOLE
Tunasubiri tarehe 4 tukate mikono kabisa. Tunapambana na corona hatutaki ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…