Askari Monument bado tunayo.

Askari Monument bado tunayo.

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Sanamu ya Askari bado tunayo licha ya ujenzi wa njia ya mwendokasi unaondelea Posta barabara ya Azikiwe

PXL_20240712_120127565~2.jpg


Maamuzi mazuri maendeleo yasifanye tukapoteza utambulisho wa Bongo Dar es salaam wengi wetu tumezaliwa tumeikuta, tumekuwa tukiona toka utotoni na tungependa iendelee kuwepo na kutunzwa.
images-jpeg.3042022
 

Attachments

  • PXL_20240712_120127565.jpg
    PXL_20240712_120127565.jpg
    4 MB · Views: 2
  • images.jpeg
    images.jpeg
    67.1 KB · Views: 2
Sanamu ya Askari bado tunayo licha ya ujenzi wa njia ya mwendokasi unaondelea Posta barabara ya Azikiwe

View attachment 3042011

Maamuzi mazuri maendeleo yasifanye tukapoteza utambulisho wa Bongo Dar es salaam wengi wetu tumezaliwa tumeikuta, tumekuwa tukiona toka utotoni na tungependa iendelee kuwepo na kutunzwa.
images-jpeg.3042022
Ulikuwa umesafiri?
 
Halina maana hilo sanamu. Hao "mashujaa" hawakufa kwa kulipigania Taifa bali mkoloni. Ni sawa na wale magaidi wa kibiti walikufa kwa kupigania harakati zao sio maslahi ya Taifa
 
Back
Top Bottom