BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Ulikuwa umesafiri?Sanamu ya Askari bado tunayo licha ya ujenzi wa njia ya mwendokasi unaondelea Posta barabara ya Azikiwe
View attachment 3042011
Maamuzi mazuri maendeleo yasifanye tukapoteza utambulisho wa Bongo Dar es salaam wengi wetu tumezaliwa tumeikuta, tumekuwa tukiona toka utotoni na tungependa iendelee kuwepo na kutunzwa.
Hapana mkuuUlikuwa umesafiri?
Tangazo la siku nyingi.Hapana mkuu
Mi nimeliona janaTangazo la siku nyingi.