Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Her comment shows extremely weakness from the top leader!Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Wilaya za Dar, Ni mikoa kipolisi ni Kama vile Tarime_Rorya Zina RPCTemeke ni OCD kipolisi.
Mkuu, Mataga wenzako wa humu wameshaanza kumuunga mkono mama.Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Kwani Jiwe aliposema, "..Eti mtu anakuja na wapambe kituo cha Polisi na mwinhine anakuja na kwaya! Hivi CDF wanweza kuja jeshini hivyo..? Niambie nani tena nchi hii alijaribu kufanya upuuzi huo?Mmebakia kukosoa tu wasukuma. Mbona kauli za dikteta magufuli mlikuwa hamzikosoa,,mlikuwa mnajifanya watu wamemnukuu vibaya Rais"**
Kile chumaa!!Atakuwa Muliro Jumanne Muliro huyo kama sio Mrema.
Hata Mimi bado sijamuunga mkono!!!Wilaya za Dar, Ni mikoa kipolisi ni Kama vile Tarime_Rorya Zina RPC
Sawa, kalifufueni jiwe lenu, maana linachezea marungu ya utosi uko pahala mbaliiKwani Jiwe aliposema, "..Eti mtu anakuja na wapambe kituo cha Polisi na mwinhine anakuja na kwaya! Hivi CDF wanweza kuja jeshini hivyo..? Niambie nani tena nchi hii alijaribu kufanya upuuzi huo?
Nyie "GANG" mna matatizo!! Mama kanyaga twende.Rais anayesema ujambazi umeongezeka Dsm kwa sababu ya askari mmoja amehamishwa, bila kuwa hata na taarifa za ndani za huyo askari, hapa hatuna Rais, tuna mzigo tu Ikulu.
Huyo mambosaa Ni pro-meko, na watu wa dizaini hiyo mama hawataki.Mm naona hapo anataka tu IGP amtoe mambosasa na kumleta mtu mwingine
Apewe uajipiiNi askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Labda ana kipajiRais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?
Na ataendelea kuwatesa hadi kizazi chenu cha kumi! JPM was one of the rare African Leaders species born in our time ndio maana pamoja na kwamba aliishafariki, JF HAIWEZI kukaa bila threads zake na ikabaki salama! That's Legacy fella!!!!Sawa, kalifufueni jiwe lenu, maana linachezea marungu ya utosi uko pahala mbalii
Mama sasa anataka kuniweka wakati mgumu mimi na familia yangu. Asingenitaja. Nimelisha shaba majambazi kadhaa. Am fakin scared.Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .
Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6