Askari Shahidi ashindwa kueleza maana ya Kahaba na Malaya katika Kesi ya Wanawake waliokamatwa Riverside wakidaiwa kujiuza

mkuu wa wilaya alikurupuka maana hizo kesi mahakama wanazifunguaga za uzururaji , maana kusema wanauza miili kuthibitisha ni ngumu mno
 
adriz Mamlukii gammaparticles hahahaha mbavu zangu
 
Kesi hii jamani!
 
Hapo bado hajaulizwa Hawa ndo uliwakamata hizo nguo ndo za kikahaba?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-06-29-11-02-14-662_com.google.android.youtube.jpg
    625.3 KB · Views: 6
Ujue kuthibitisha ukahaba ni ngumu sana yakija mambo ya sheria.
Kwa perepeche za mdomoni unaweza kuona ni rahisi tu. Ila kisheria kabisa kuthibitisha kwamba huyu anajiuza ni ngumu
Nakazia
 
Hapo Wabongo wanafuraha mnoo, ila wakimamatwa mashoga na kuachiwa wanabwataaa, ko mnadhani sheria inachagua eeeh?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…