Askari TANAPA wadaiwa kuwavua nguo wanawake wafugaji na kuwababua kwa mapanga ya moto mwili mzima

Askari TANAPA wadaiwa kuwavua nguo wanawake wafugaji na kuwababua kwa mapanga ya moto mwili mzima

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kuna habari toka bungemi inaeleza kwamba kuna Askari wa TANAPA wamevamia wanachi kwa helicopter kwa madai wapo kwenye hifadhi, ambapo wameporw ng’ombe zaidi ya 200, pia wamepiga raia kiasi cha wengine kuwa mahututi, pia wamefanya ukatili wa kuwavua nguo wanawake hadi uchi wa mnyama, kisha wanaoasha mapanga kwenye moto na kuwababua mwili mzima kama wanababua nguruwe. Habari ipo chini.


 
Hawa wanajeshi wa kulinda maliasili mara nyingi huwa wakatili, na wana adhabu kali sana kwa wale raia watakaowakuta na makosa ya kuvamia hifadhini.

Wanafanya mambo ya hovyo kwa wanadamu wenzao, mpaka wakati mwingine inaonekana mnyama ndie mwenye thamani zaidi ya mwanadamu.
 
tanapa wakimwotea jangili wanamfanya hamna maana wao wenyewe wanapitia vimbwenga sana mara walogwe, pigwe mishale ya sumu nk
Hivi umeangalia hiyo video au umecoment tu?
 
duh ingekua utawala wa JPM alina kigogo and the co yangewatoka mapovu mengi. Ila ndo vile asali tamu
 
Watakuwa pia wamewabaka hao akina mama.
Eti wanaenda kuchunguza serious??
Hao wahuni ilitakiwa waje jela saa hizi.
Tz nchi yenye maneno ya kufariji sana.
 
Umeangalia video? Hawajavamia, bali wanalazimishwa waondoke kinyume na makubaliano ya kupewa fidia na kuhamishwa baada ya kumaliza kuvuna mazao yao. Hifadhi ndio imewafuata, inajitanua.
Kumbe hata siyo wavamizi!
 
Askari wa wanyama pori huathiriwa na tabia za wanyama wanao ishi nao huko porini.
 
Back
Top Bottom