Askari TANAPA wadaiwa kuwavua nguo wanawake wafugaji na kuwababua kwa mapanga ya moto mwili mzima

Askari TANAPA wadaiwa kuwavua nguo wanawake wafugaji na kuwababua kwa mapanga ya moto mwili mzima

Sitokuwa mwepesi kujudge maana hii story bado upande mwingine haujaeleza why, anaefaham story ya upande meingine imekuwaje wakafika hapo?
 
Hawa wanajeshi wa kulinda maliasili mara nyingi huwa wakatili, na wana adhabu kali sana kwa wale raia watakaowakuta na makosa ya kuvamia hifadhini.

Wanafanya mambo ya hovyo kwa wanadamu wenzao, mpaka wakati mwingine inaonekana mnyama ndie mwenye thamani zaidi ya mwanadamu.

Actualy wako aggressive kutokana na kazi yao, siwatetei ila muda mwingine bila kuwa mkali mtanzania hakuelewi , hakusikii.

Although ukali hautakiwi kufanyika maeneo yote
 
Kuna habari toka bungemi inaeleza kwamba kuna Askari wa TANAPA wamevamia wanachi kwa helicopter kwa madai wapo kwenye hifadhi...
Mtetezi wao alishatangulia mbele ya haki,wavumilie tu,hakuna namna, Mama Samia anaupiga mwingi.

"Na hili nalo mkalitazame "
 
Wangewabanika kabisa.Kucheka na wafugaji ni sawa na kukumbatia moto msituni.Nchi imekuwa jangwa kwa sababu ya hawa majamaa.Tanapa kazi nzuri msicheke na kima
 
Ahaha hao jamaa ndo michezo yao,kinamama walipona kweli,na vichakani huko😅😅😅
 
Hili jambo sio jipya, Rais Samia analijua na PM pia anajua.
Serikali yote inajua jinsi watu hao wanavyo fanyiwa kama wanyama. Lakini binadamu walio katika ardhi ya nchi hii kwa vile hawajitambui wanaona walio madarakani wanafanya sawa tuu kwa wenzao na hawachukui hatua hata wakati wa uchaguzi.
Kweli mzee Jomo Kenyatta alikuwa sahihi, kuhusu maiti.
 
Hii nchi inatia hasira.
Hao wanafaa kupigwa risasi hadharani
Lakini ikitaka kuona upuuzi wa nchi hii angalia thread hii hutaona watu wakiichangia kwa nguvu na uchungu au hasira kwa wanaotenda uovu huu lakini ingekuwa ina udaku au umbea sasa hivi wachangiaji wangekuwa wanayoka jasho kwa kuonyesha walivyo mahiri kuandika.
Ujinga umetamalaki
 
Back
Top Bottom