Askari Uwanja wa Ndege KIA wanaharibu taswira ya nchi kwa kubugudhi wasafiri

Askari Uwanja wa Ndege KIA wanaharibu taswira ya nchi kwa kubugudhi wasafiri

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Uwanja wa ndege wa kimataifa (KIA) Kilimajaro International Airport ni lango la utalii Tanzania.Uwanja huu umekuwa ukipokea wageni wengi wanaokuja kutalii katika Hifadhi zetu zilizojaliwa kila aina ya vivutio.

Bahati mbaya yupo askari mmoja kijana Mwanaume anayevalia kiraia amekuwa kero na msumbufu wa kutosha.Askari huyu anavizia wasafiri wanapoingia uwanja lango la mwanzo kabisa ukipita unamkuta anakusubiri tayari kuanza kukusumbua.

Kwanza atakuuliza una kiasi gani cha dollar kama hajaridhika na majibu yako atakuingiza katika chumba na kuanza kukupekua pekua utafikiri labda umebeba unga.

Wasafiri tunajua sheria kama umechukua kiasi zaidi ya USD 10,000 utatakiwa declare TRA,shida unaulizwa mara tu unapokaguliwa na mashine mwanzoni.Utaratibu unatakiwa kuulizwa unapokwenda departure lounge au unapokuwa umeshapita immigration.

Tunaomba mamlaka husika kubadili utaratibu huu mbovu ambao unatoa mwanya wa rushwa na kuifanya safari nzima kujaa karaha.

Mkuu wa Polisi KIA ni vyema ukambadili askari huyu anayelalamikiwa na wasafari wengi kuchelewa kumwondoa kutaendelea kulipaka tope jeshi la Polisi kwasababu ya askari mmoja ambaye hatosheki na mshahara wake.

Kwa ufuatiliaji wa karibu tembelea ofisi za ATCL,Ethiopia Airline na mawakala wa mashirika mbali mbali ya ndege kote huko Askari wenu ni habari kubwa na mbaya.

Ngongo safarini Johannesburg.
 
Heshima sana wanajamvi,

Uwanja wa ndege wa kimataifa (KIA) Kilimajaro International Airport ni lango la utalii Tanzania.Uwanja huu umekuwa ukipokea wageni wengi wanaokuja kutalii katika Hifadhi zetu zilizojaliwa kila aina ya vivutio.

Bahati mbaya yupo askari mmoja kijana Mwanaume anayevalia kiraia amekuwa kero na msumbufu wa kutosha.Askari huyu anavizia wasafiri wanapoingia uwanja lango la mwanzo kabisa ukipita unamkuta anakusubiri tayari kuanza kukusumbua.
Kwanza atakuuliza una kiasi gani cha dollar kama hajaridhika na majibu yako atakuingiza katika chumba na kuanza kukupekua pekua utafikiri labda umebeba unga.

Wasafiri tunajua sheria kama umechukua kiasi zaidi ya USD 10,000 utatakiwa declare TRA,shida unaulizwa mara tu unapokaguliwa na mashine mwanzoni.Utaratibu unatakiwa kuulizwa unapokwenda departure lounge au unapokuwa umeshapita immigration.

Tunaomba mamlaka husika kubadili utaratibu huu mbovu ambao unatoa mwanya wa rushwa na kuifanya safari nzima kujaa karaha.

Mkuu wa Polisi KIA ni vyema ukambadili askari huyu anayelalamikiwa na wasafari wengi kuchelewa kumwondoa kutaendelea kulipaka tope jeshi la Polisi kwasababu ya askari mmoja ambaye hatosheki na mshahara wake.

Kwa ufuatiliaji wa karibu tembelea ofisi za ATCL,Ethiopia Airline na mawakala wa mashirika mbali mbali ya ndege kote huko Askari wenu ni habari kubwa na mbaya.

Ngongo safarini Johannesburg.
Tanzania ina wahuni wengi Sana wameajiriwa na serikali ya ccm! Aibu kubwa!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Heshima sana wanajamvi,

Uwanja wa ndege wa kimataifa (KIA) Kilimajaro International Airport ni lango la utalii Tanzania.Uwanja huu umekuwa ukipokea wageni wengi wanaokuja kutalii katika Hifadhi zetu zilizojaliwa kila aina ya vivutio.

Bahati mbaya yupo askari mmoja kijana Mwanaume anayevalia kiraia amekuwa kero na msumbufu wa kutosha.Askari huyu anavizia wasafiri wanapoingia uwanja lango la mwanzo kabisa ukipita unamkuta anakusubiri tayari kuanza kukusumbua.
Kwanza atakuuliza una kiasi gani cha dollar kama hajaridhika na majibu yako atakuingiza katika chumba na kuanza kukupekua pekua utafikiri labda umebeba unga.

Wasafiri tunajua sheria kama umechukua kiasi zaidi ya USD 10,000 utatakiwa declare TRA,shida unaulizwa mara tu unapokaguliwa na mashine mwanzoni.Utaratibu unatakiwa kuulizwa unapokwenda departure lounge au unapokuwa umeshapita immigration.

Tunaomba mamlaka husika kubadili utaratibu huu mbovu ambao unatoa mwanya wa rushwa na kuifanya safari nzima kujaa karaha.

Mkuu wa Polisi KIA ni vyema ukambadili askari huyu anayelalamikiwa na wasafari wengi kuchelewa kumwondoa kutaendelea kulipaka tope jeshi la Polisi kwasababu ya askari mmoja ambaye hatosheki na mshahara wake.

Kwa ufuatiliaji wa karibu tembelea ofisi za ATCL,Ethiopia Airline na mawakala wa mashirika mbali mbali ya ndege kote huko Askari wenu ni habari kubwa na mbaya.

Ngongo safarini Johannesburg.
Hakuna polisi mwadilifunTanzania. Unaweza kuta mkuu wake ndie humtuma
 
Hakuna polisi mwadilifunTanzania. Unaweza kuta mkuu wake ndie humtuma

Ni sawa lakini wajaribu kutafuta Askari wa maana si kutuletea wazalisha kero. Mimi ni mtumiaji wa KIA sasa mwaka wa kumi. Nimeshuhudia KADCO wakijitahidi kuutangaza uwanja kwa muda mrefu. Nimeona wakiboresha miundombinu mingi kuanzia cold room kwaajili ya wasafirisha wa matunda, mboga mboga na maua ambayo mwanzoni ilibidi kusafirisha kutokea Nairobi JKIA.

Ikiwa KADCO wameweza kubadili kutoka unyonge hadi leo mashirika zaidi ya 12 yanatumia KIA ni kwanini wamwachie Askari mmoja na sema mmoja kuharibu taswira yote ya KIA?
 
Heshima sana wanajamvi,

Uwanja wa ndege wa kimataifa (KIA) Kilimajaro International Airport ni lango la utalii Tanzania.Uwanja huu umekuwa ukipokea wageni wengi wanaokuja kutalii katika Hifadhi zetu zilizojaliwa kila aina ya vivutio.

Bahati mbaya yupo askari mmoja kijana Mwanaume anayevalia kiraia amekuwa kero na msumbufu wa kutosha.Askari huyu anavizia wasafiri wanapoingia uwanja lango la mwanzo kabisa ukipita unamkuta anakusubiri tayari kuanza kukusumbua.

Kwanza atakuuliza una kiasi gani cha dollar kama hajaridhika na majibu yako atakuingiza katika chumba na kuanza kukupekua pekua utafikiri labda umebeba unga.

Wasafiri tunajua sheria kama umechukua kiasi zaidi ya USD 10,000 utatakiwa declare TRA,shida unaulizwa mara tu unapokaguliwa na mashine mwanzoni.Utaratibu unatakiwa kuulizwa unapokwenda departure lounge au unapokuwa umeshapita immigration.

Tunaomba mamlaka husika kubadili utaratibu huu mbovu ambao unatoa mwanya wa rushwa na kuifanya safari nzima kujaa karaha.

Mkuu wa Polisi KIA ni vyema ukambadili askari huyu anayelalamikiwa na wasafari wengi kuchelewa kumwondoa kutaendelea kulipaka tope jeshi la Polisi kwasababu ya askari mmoja ambaye hatosheki na mshahara wake.

Kwa ufuatiliaji wa karibu tembelea ofisi za ATCL,Ethiopia Airline na mawakala wa mashirika mbali mbali ya ndege kote huko Askari wenu ni habari kubwa na mbaya.

Ngongo safarini Johannesburg.
Hawa watu huwa hawafundishwi customer care?
 
Ukipata taarifa ya huyo askari jinsi anavyo wanasa wabeba unga hutaamini na ni kwa njia hiyo hiyo unayo ona ni usumbufu.

Acha ujinga wazee wa unga wanajulikana,ukamatwaji wao ni kwa msaada wa mashine iliyoko lango la mwanzo na lango la departure lounge.Huyo askari hana uwezo wa kuona mtu aliyemeza kete au aliyeficha madawa katika mzigo bila msaada wa scanner machine yeye kazi yake kubwa ni kupambana na wasafiri waliobeba dollar zaidi ya 10,000.Kwakuwa sisi ni wakongwe kabla hatujaingia ndani tunamwomba mkaguzi wa mwanzo wa passport,VISA & Ticket atuitie mtu wa TRA kukwepa kutoa rushwa.
 
Acha ujinga wazee wa unga wanajulikana,ukamatwaji wao ni kwa msaada wa mashine iliyoko lango la mwanzo na lango la departure lounge.Huyo askari hana uwezo wa kuona mtu aliyemeza kete au aliyeficha madawa katika mzigo bila msaada wa scanner machine yeye kazi yake kubwa ni kupambana na wasafiri waliobeba dollar zaidi ya 10,000.Kwakuwa sisi ni wakongwe kabla hatujaingia ndani tunamwomba mkaguzi wa mwanzo wa passport,VISA & Ticket atuitie mtu wa TRA kukwepa kutoa rushwa.
Maelezo yako yanaelea hewani kidogo. Anauliza kila msafiri au ni baadhi ya wasafiri tu? Usumbufu wake ni pale anapoulizia au analazimisha kila msafiri akaguliwe? Akikuuliza na ukimjibu eg nina dola 2000 haridhiki?
 
Maelezo yako yanaelea hewani kidogo. Anauliza kila msafiri au ni baadhi ya wasafiri tu? Usumbufu wake ni pale anapoulizia au analazimisha kila msafiri akaguliwe? Akikuuliza na ukimjibu eg nina dola 2000 haridhiki?
Anaridhika na anakusaidia kubeba bag lako.
 
Jeshi letu la polisi halina maarifa katika kazi zao. Nafikiri huwa wakitoka mafunzoni wanafundishwa namna ya kutisha watu ili kujipatia pesa ata kwa dhuruma
Jeshi la polisi Bongo ni la hovyo, limejaa rushwa na kutowajibika. Lakini kwa hii kesi anayoelezea ingekuwa vizuri atoe maelezo zaidi kero iko kwenye kuulizia au kukagua? Na anafanya hivyo kwa kila msafiri na ni kila siku yuko hapo? Na kama hayupo kero inaisha?
 
Anaridhika na anakusaidia kubeba bag lako.
Ni hivi. Kuna wafanyabiashara wengi huwa wanasafiri na cash ya kiwango kikubwa wanapokwenda kununua mzigo nje na hawatoa taarifa kama inavyotakiwa. Hili nalijua na kipindi watu wanakwenda China kuna jamaa wengi walikuwa wanafanya hivyo. Sasa watu kama hawa sidhani watapenda kuulizwa ulizwa maswali na askari kama huyo.
 
Ni hivi. Kuna wafanyabiashara wengi huwa wanasafiri na cash ya kiwango kikubwa wanapokwenda kununua mzigo nje na hawatoa taarifa kama inavyotakiwa. Hili nalijua na kipindi watu wanakwenda China kuna jamaa wengi walikuwa wanafanya hivyo. Sasa watu kama hawa sidhani watapenda kuulizwa ulizwa maswali na askari kama huyo.
Unadhani na wengine hatujui Kwamba kuna watu wa aina hio?
 
Poleni sana, ila kwa nchi za wenzetu ni kawaida sana...
 
Back
Top Bottom