Askari Uwanja wa Ndege KIA wanaharibu taswira ya nchi kwa kubugudhi wasafiri

Askari Uwanja wa Ndege KIA wanaharibu taswira ya nchi kwa kubugudhi wasafiri

Ni sawa lakini wajaribu kutafuta Askari wa maana si kutuletea wazalisha kero. Mimi ni mtumiaji wa KIA sasa mwaka wa kumi. Nimeshuhudia KADCO wakijitahidi kuutangaza uwanja kwa muda mrefu. Nimeona wakiboresha miundombinu mingi kuanzia cold room kwaajili ya wasafirisha wa matunda, mboga mboga na maua ambayo mwanzoni ilibidi kusafirisha kutokea Nairobi JKIA.

Ikiwa KADCO wameweza kubadili kutoka unyonge hadi leo mashirika zaidi ya 12 yanatumia KIA ni kwanini wamwachie Askari mmoja na sema mmoja kuharibu taswira yote ya KIA?
Uko sahihi 100%lakini tabia haina dawa.
Polisi wa Tanzania hawajui walitendalo. They are money mongers.. Hawafikirii nini kitatokea kesho.
Maana angalia hata hawa wa usalama barabarani wanavyo sumbua magari ya kigeni. Hadi tukienda kwao tunaambiwa mapolisi wenu ni wabaya, wana penda sana hongo. Hiyo ni sifa nzuri kweli?
 
Uko sahihi 100%lakini tabia haina dawa.
Polisi wa Tanzania hawajui walitendalo. They are money mongers.. Hawafikirii nini kitatokea kesho.
Maana angalia hata hawa wa usalama barabarani wanavyo sumbua magari ya kigeni. Hadi tukienda kwao tunaambiwa mapolisi wenu ni wabaya, wana penda sana hongo. Hiyo ni sifa nzuri kweli?
Halafu hawa wapumbavu hata kiingereza hawajui vizuri!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Heshima sana wanajamvi,

Uwanja wa ndege wa kimataifa (KIA) Kilimajaro International Airport ni lango la utalii Tanzania.Uwanja huu umekuwa ukipokea wageni wengi wanaokuja kutalii katika Hifadhi zetu zilizojaliwa kila aina ya vivutio.

Bahati mbaya yupo askari mmoja kijana Mwanaume anayevalia kiraia amekuwa kero na msumbufu wa kutosha.Askari huyu anavizia wasafiri wanapoingia uwanja lango la mwanzo kabisa ukipita unamkuta anakusubiri tayari kuanza kukusumbua.

Kwanza atakuuliza una kiasi gani cha dollar kama hajaridhika na majibu yako atakuingiza katika chumba na kuanza kukupekua pekua utafikiri labda umebeba unga.

Wasafiri tunajua sheria kama umechukua kiasi zaidi ya USD 10,000 utatakiwa declare TRA,shida unaulizwa mara tu unapokaguliwa na mashine mwanzoni.Utaratibu unatakiwa kuulizwa unapokwenda departure lounge au unapokuwa umeshapita immigration.

Tunaomba mamlaka husika kubadili utaratibu huu mbovu ambao unatoa mwanya wa rushwa na kuifanya safari nzima kujaa karaha.

Mkuu wa Polisi KIA ni vyema ukambadili askari huyu anayelalamikiwa na wasafari wengi kuchelewa kumwondoa kutaendelea kulipaka tope jeshi la Polisi kwasababu ya askari mmoja ambaye hatosheki na mshahara wake.

Kwa ufuatiliaji wa karibu tembelea ofisi za ATCL,Ethiopia Airline na mawakala wa mashirika mbali mbali ya ndege kote huko Askari wenu ni habari kubwa na mbaya.

Ngongo safarini Johannesburg.
Ulivyojibu / aliyejibu maswali kama alivyokuuliza/ulizwa na huyo askari, alikuomba/aliombwa rushwa, ili ku justify hiyo mianya ya rushwa? 🙏🙏🙏
 
Tanzania ina wahuni wengi Sana wameajiriwa na serikali ya ccm! Aibu kubwa!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
LAZIMA wakaguliwe. Ufipa hamnaga jema. Wakiachwa wapitishe Dola zaidi ya 10000 mtasema pia. Wasafiri watii na wafuate utaratibu. Kote duniani kuna tight security kwenye viwanja vya ndege. Huwezi kulegeza utaratibu kisa Wageni
 
Poleni sana, ila kwa nchi za wenzetu ni kawaida sana...

Ni kawaida kila mahali lakini unapokuwa ndani ya Airport.KIA inakubidi uombe mtu TRA nje akujazie paper ukijichanganya ukaingia ndani umekwisha.
 
Heshima sana wanajamvi,

Uwanja wa ndege wa kimataifa (KIA) Kilimajaro International Airport ni lango la utalii Tanzania.Uwanja huu umekuwa ukipokea wageni wengi wanaokuja kutalii katika Hifadhi zetu zilizojaliwa kila aina ya vivutio.

Bahati mbaya yupo askari mmoja kijana Mwanaume anayevalia kiraia amekuwa kero na msumbufu wa kutosha.Askari huyu anavizia wasafiri wanapoingia uwanja lango la mwanzo kabisa ukipita unamkuta anakusubiri tayari kuanza kukusumbua.

Kwanza atakuuliza una kiasi gani cha dollar kama hajaridhika na majibu yako atakuingiza katika chumba na kuanza kukupekua pekua utafikiri labda umebeba unga.

Wasafiri tunajua sheria kama umechukua kiasi zaidi ya USD 10,000 utatakiwa declare TRA,shida unaulizwa mara tu unapokaguliwa na mashine mwanzoni.Utaratibu unatakiwa kuulizwa unapokwenda departure lounge au unapokuwa umeshapita immigration.

Tunaomba mamlaka husika kubadili utaratibu huu mbovu ambao unatoa mwanya wa rushwa na kuifanya safari nzima kujaa karaha.

Mkuu wa Polisi KIA ni vyema ukambadili askari huyu anayelalamikiwa na wasafari wengi kuchelewa kumwondoa kutaendelea kulipaka tope jeshi la Polisi kwasababu ya askari mmoja ambaye hatosheki na mshahara wake.

Kwa ufuatiliaji wa karibu tembelea ofisi za ATCL,Ethiopia Airline na mawakala wa mashirika mbali mbali ya ndege kote huko Askari wenu ni habari kubwa na mbaya.

Ngongo safarini Johannesburg.
Tatizo la pale KIA kila mtu anaota utajiri.
Utakuta hata huyo Askari ni pandikizi la mkuu wa kituo cha Polisi hapo KIA.

Hata wale Traffic Police pale njia ya Bomang'ombe nao ni kero kwa wageni.
 
Acha ujinga wazee wa unga wanajulikana,ukamatwaji wao ni kwa msaada wa mashine iliyoko lango la mwanzo na lango la departure lounge.Huyo askari hana uwezo wa kuona mtu aliyemeza kete au aliyeficha madawa katika mzigo bila msaada wa scanner machine yeye kazi yake kubwa ni kupambana na wasafiri waliobeba dollar zaidi ya 10,000.Kwakuwa sisi ni wakongwe kabla hatujaingia ndani tunamwomba mkaguzi wa mwanzo wa passport,VISA & Ticket atuitie mtu wa TRA kukwepa kutoa rushwa.
We kariri tu.
 
Heshima sana wanajamvi,

Uwanja wa ndege wa kimataifa (KIA) Kilimajaro International Airport ni lango la utalii Tanzania.Uwanja huu umekuwa ukipokea wageni wengi wanaokuja kutalii katika Hifadhi zetu zilizojaliwa kila aina ya vivutio.

Bahati mbaya yupo askari mmoja kijana Mwanaume anayevalia kiraia amekuwa kero na msumbufu wa kutosha.Askari huyu anavizia wasafiri wanapoingia uwanja lango la mwanzo kabisa ukipita unamkuta anakusubiri tayari kuanza kukusumbua.

Kwanza atakuuliza una kiasi gani cha dollar kama hajaridhika na majibu yako atakuingiza katika chumba na kuanza kukupekua pekua utafikiri labda umebeba unga.

Wasafiri tunajua sheria kama umechukua kiasi zaidi ya USD 10,000 utatakiwa declare TRA,shida unaulizwa mara tu unapokaguliwa na mashine mwanzoni.Utaratibu unatakiwa kuulizwa unapokwenda departure lounge au unapokuwa umeshapita immigration.

Tunaomba mamlaka husika kubadili utaratibu huu mbovu ambao unatoa mwanya wa rushwa na kuifanya safari nzima kujaa karaha.

Mkuu wa Polisi KIA ni vyema ukambadili askari huyu anayelalamikiwa na wasafari wengi kuchelewa kumwondoa kutaendelea kulipaka tope jeshi la Polisi kwasababu ya askari mmoja ambaye hatosheki na mshahara wake.

Kwa ufuatiliaji wa karibu tembelea ofisi za ATCL,Ethiopia Airline na mawakala wa mashirika mbali mbali ya ndege kote huko Askari wenu ni habari kubwa na mbaya.

Ngongo safarini Johannesburg.

Wabongo tunapenda kulalamika kwa kila kitu,kwahiyo kukaguliwa unaona ni usumbufu!?angalia vipindi kama airport security discovery channel au how to catch smugglers NATGEO uone watu wanavyo pekuliwa airport za JFK,MIA nk
 
Wabongo tunapenda kulalamika kwa kila kitu,kwahiyo kukaguliwa unaona ni usumbufu!?angalia vipindi kama airport security discovery channel au how to catch smugglers NATGEO uone watu wanavyo pekuliwa airport za JFK,MIA nk

Tatizo unakimbilia kujibu bila kuelewa mada sawa sawa.

Ukaguzi unafanyika Airport zote.Ukaguzi wa ziada ufanyika baada ya scanner kubaini vitu visivyo vya kawaida katika mwili au katika mabegi.

Kinachotekea KIA unapita katika scanner vizuri mzigo au begi linakuwa sawa.

Askari njaa anakuja na njaa zake analazimisha jambo wakati ndio kwanza umeingia bado haujapata boarding pass haujakaguliwa na immigration.Hili ndio tatizo linapoanza.

Airport za wenzetu ukaguzi wa ziada ufanyika baada ya scanner kubaini hali ambayo si kawaida.

Usikariri kwa kutazama Dstv na hata ukitazama bado utabaini ukaguzi wa ziada unafanyika katika mazingira yenye kutia shaka za uhakika.
 
Heshima sana wanajamvi,

Uwanja wa ndege wa kimataifa (KIA) Kilimajaro International Airport ni lango la utalii Tanzania.Uwanja huu umekuwa ukipokea wageni wengi wanaokuja kutalii katika Hifadhi zetu zilizojaliwa kila aina ya vivutio.

Bahati mbaya yupo askari mmoja kijana Mwanaume anayevalia kiraia amekuwa kero na msumbufu wa kutosha.Askari huyu anavizia wasafiri wanapoingia uwanja lango la mwanzo kabisa ukipita unamkuta anakusubiri tayari kuanza kukusumbua.

Kwanza atakuuliza una kiasi gani cha dollar kama hajaridhika na majibu yako atakuingiza katika chumba na kuanza kukupekua pekua utafikiri labda umebeba unga.

Wasafiri tunajua sheria kama umechukua kiasi zaidi ya USD 10,000 utatakiwa declare TRA,shida unaulizwa mara tu unapokaguliwa na mashine mwanzoni.Utaratibu unatakiwa kuulizwa unapokwenda departure lounge au unapokuwa umeshapita immigration.

Tunaomba mamlaka husika kubadili utaratibu huu mbovu ambao unatoa mwanya wa rushwa na kuifanya safari nzima kujaa karaha.

Mkuu wa Polisi KIA ni vyema ukambadili askari huyu anayelalamikiwa na wasafari wengi kuchelewa kumwondoa kutaendelea kulipaka tope jeshi la Polisi kwasababu ya askari mmoja ambaye hatosheki na mshahara wake.

Kwa ufuatiliaji wa karibu tembelea ofisi za ATCL,Ethiopia Airline na mawakala wa mashirika mbali mbali ya ndege kote huko Askari wenu ni habari kubwa na mbaya.

Ngongo safarini Johannesburg.
Ujumbe umemfikia ..chemba anajuwa SWILABATO

Mkuu unge mpashamya ya Kisirisiri...
 
Back
Top Bottom