Jamiiforum imepoteza ladha. Kila unapoingia jukwaani unakutana na kashifa dhidi ya waarabu/waisilamu kwa ujumla, na kuitwa magaidi,,,kuna baadhi ya wakristo wanajielewa na wanachukia uovu unaowafanywa na mayahudi zidi ya wapalestina/western countries.
[emoji1370]
(2:120) And never will the Jews or the Christians approve of you until you follow their religion. Say, “Indeed, the guidance of Allah is the [only] guidance.” If you were to follow their desires after what has come to you of knowledge, you would have against Allah no protector or helper.