jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Dsm ni mkoa wenye changamoto sana katika utekerezaji wa majukumu..hapo mgambo hawana kosa wametumwa kutekereza amri..ila wanasambuliwa ukiangalia machinga ndio wavunja sheria.
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama