Askari wa jiji wapokea kipigo toka kwa machinga mtaa wa Samora

Dsm ni mkoa wenye changamoto sana katika utekerezaji wa majukumu..hapo mgambo hawana kosa wametumwa kutekereza amri..ila wanasambuliwa ukiangalia machinga ndio wavunja sheria.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tunaanza mazoezi kuna siku kitanuka we waache waendelee kufumba macho.
 
But wanachofanya sio ubinadamu kabisa.

Mtu unavamia mali ya mtu unaharibu kisa tu wewe ni askari.

Hapana.
Ni kweli, sema mgambo wanakuwaga na stress tu

Ova
 
Askari wa ccm hao
 
Na wewe ulipiga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…