Askari wa JWTZ aliyemuua Mkewe na yeye afariki Dunia akipatiwa matibabu

Askari wa JWTZ aliyemuua Mkewe na yeye afariki Dunia akipatiwa matibabu

Ambao tunaamini mwanamke kuchepuka nikitu chakawaida kwakuwa nae nibinadamu tuko imara kuvumilia ili watoto wasiteseke tujuane kaza moyo mtoto wakiume
 
Katika research NILIYO fanya na kuja na valid conclusion Ni kua.....

Hili swala lipo ki saikolojia zaidi KWA mfano mwanaume anaweza mchukua mwanamke Alie toka kufanywa na mwanaume mwingine na yeye akaenda kumfanya na akawa na amani ya moyo......

Mwanaume anaweza aka mpenda mwanamke mmoja na akawa amejiaminisha KUA Ni wake pekee ake hapo ndipo huwa Kuna anzia tatizo.......

Kikubwa Ni moyo stable kujitahidi KUA na moyo wa subra kwenye haya mambo....
Pia kujitahid kufanya measurements & evaluation kweny KILA maamuzi hasa hasa mtu akiwa kwenye hasira (panic).......

Wanawake wapo wengi sanaa Tena sana nawa KILA sampuli.....

Omba yasi kukutee......watakuja na wengine kuongezea ongezea nyama....

Ova

RIP MWANAJESHI
 
Back
Top Bottom