Askari wa JWTZ kizimbani kwa kukaidi amri halali ya askari wa Usalama Barabarani

Wanasahau kuwa wote Wana mafunzo ya karate, kupigana Kwa ajili ya kujihami [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio hivo,wengine wapiga deals,kuna mwanangu alifariki alikuwa polisi, wakikamata dumu 20 za gongo,15 anachukua anauza😁
 
Elimu ndo upumbavu gani wewe, na elimu yako hiyo hata iwe kubwa vipi ni takataka kwa askari yoyote Tanzania
  • elimu Yako duni, wewe ni form four Kwa Mimi mwenye msc in finance nakuona takataka TU?
  • Kwa hiyo huyo Koplo wa Jeshi ni Bora kuliko Profesa? Hivi hujui Profesa anaweza kuwalipa makoplo Hadi 7
  • ww ndiye boya TU! Ongeza elimu form4 sio elimu.
 
Inaonekana unaishi kambini au pembezoni mwa kambi. Huna exposure na hujawahi kutembea sehemu mbali mbali otherwise usingeandika hicho ulichoandika
  • aisee mkuu hiyo itakuwa ni kweli, inaonekana anaishi kambini, akiona IST kwenye baadhi ya Nyumba za maaskari anaona ndio GoodLife
  • Kama hajui Police traffic Wana good life(though siungi mkono Rushwa) na pesa kubwa sana kuliko Hata maofisa baadhi wa jeshi
 

Traffic ndio askari wanaowaponza askari wa wizara ya mambo ya ndani na kuona askari wote ni maisha safi.
 
Ni wa ile kideo iliyosambaa sana kama moto wa mabua?

Mmoja anaendesha gari aina ya Nissan huku akipiga honi, Trafiki anaizuia kwa kusimama mbele kama kizingiti,
Baadaye nikasikia waziri akifoka!
Si ndiyo hao au?
Siku hiyo Jf iligawika mapande mawili.
 
Safi sana, Hao wapuuzi pamoja na wezao TISS siku zote wanajiona wao wapo Juu ya Sheria. Ni Washenzi sana
 
mambo vip, samahani kidogo kama kutakuwa na connection ya mgodini nisaidie nipate ajira bro
 
Wanajeshi wana maisha mazuri kuliko takataka yoyote Tanzania. Tatizo linakuja unavyoyatazama wewe
Gari yake inadaiwa ni ya miaka ya 90,unasema anakula maisha,duuu! kweli ulaji wa maisha unatazamwa tofautitofauti.Mi sina hata pikipiki,lakini sioni ulaji wa maisha kwa baadhi ya askari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…