KERO Askari wa kituo cha Dumila Morogoro wamulikwe.

KERO Askari wa kituo cha Dumila Morogoro wamulikwe.

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Rocky City

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2017
Posts
892
Reaction score
683
Mkuu wa police Tanzania,hawa askari wako wa kituo cha police Dumila,Morogoro weredi wa kazi umekuwa jiwe kwao.

Kwanza Dumila ni sehemu ambayo askari wake rushwa imetawala sana,dumila ni mji wenye wizi usio na mfano,bangi inavutwa hadharani tu. Achilia mbali matukio hayo,sehemu ya njia tatu kumekuwa na ajali nyingi kutokana na barabara kuwa na mteremko mkali,lakini pindi itokeapo ajali,askari wa Dumila popote atakapo kuwa anajua dili tayari.

Askari hawa wamekuwa wakiibia waanga wa ajali hasa yakidondoka magari ta mizigo,ni jana tu gari la mcheke limedondoka mahari pale,wananchi wakasaidia ajabu police hao hao wamefika pale na kuanza kuweka viroba pembeni na kila 1 kuondoka na viroba kazaa vya kilo 50,pomoja na mfanya biashara huyo kulia kwa uchungu pesa ya mkopo benK.

Kumekuwa na matukio haya mengi sana pale dumila.
Tunaomba mamlaka husika wasaidie hili.
 
Wasilusha lalamiko lako wa SACP Alex Mkama, RPC Moro na ex chawa mwandamizi wa JPM akiwa OCD chato.

Mkama ni mbabe hasa, kama magu tu. Atakunyoshea hao pongo hawatarudia.

Polisi wanaendelea ujinga wao Kwa sababu wanaijua raia wanaogopa kuwashitaki.

Ukimshitaki polisi Kwa boss wake Huwa wanahojiwa na kuonywa.

Niliwahi kumshitaki jamaa mmoja Kwa DSO, alianza mazoea ya lazima Kwa mke wangu kisa anaendesha Nissan patrol nyeupe.

Nilikopi namba ya gari, nikaeleza na muonekano wa jamaa DSO.......

Huyo fara hajasogea tena kwenye chimbo langu.

Mimi ukinizingua nitakulalanikia mpaka Kwa rais.
 
Wasilusha lalamiko lako wa SACP Alex Mkama, RPC Moro na ex chawa mwandamizi wa JPM akiwa OCD chato.

Mkama ni mbabe hasa, kama magu tu. Atakunyoshea hao pongo hawatarudia.

Polisi wanaendelea ujinga wao Kwa sababu wanaijua raia wanaogopa kuwashitaki.

Ukimshitaki polisi Kwa boss wake Huwa wanahojiwa na kuonywa.

Niliwahi kumshitaki jamaa mmoja Kwa DSO, alianza mazoea ya lazima Kwa mke wangu kisa anaendesha Nissan patrol nyeupe.

Nilikopi namba ya gari, nikaeleza na muonekano wa jamaa DSO.......

Huyo fara hajasogea tena kwenye chimbo langu.

Mimi ukinizingua nitakulalanikia mpaka Kwa rais.
Kwani mkuu,DSO na police si ni idara mbili tofauti.
Au hapa unasemaje??
 
Kwani mkuu,DSO na police si ni idara mbili tofauti.
Au hapa unasemaje??
Nadhani anajua ila lengo lilikuwa kuonyesha njia za kuwawajibisha wahuni,kila mtu ana wakubwa zake wanaofikika,tena uzuri raia hana mipaka ndio maana akamtaja rais pia kama itabidi kumfikia.
 
Mkuu wa police Tanzania,hawa askari wako wa kituo cha police dumila,Morogoro weredi wa kazi umekuwa jiwe kwao,kwanza dumila ni sehemu ambayo askari wake rushwa imetawala sana,dumila ni mji wenye wizi usio na mfano,bangi inavutwa hadharani tu,,achilia mbalu matukio hayo,sehemu ta njia tatu kumekuwa na ajali nyingi kutokana na barabara kuwa na mteremko mkali,lakini pindi itokeapo ajali,askari wa dumila popote atakapo kuwa anajua dili tayari,askari hawa wamekuwa wakiibia waanga wa ajali hasa yakidondoka magari ta mizigo,ni jana tu gari la mcheke limedondoka mahari pale,wananchi wakasaidia ajabu police hao hao wamefika pale na kuanza kuweka viroba pembeni na kila 1 kuondoka na viroba kazaa vya kilo 50,pomoja na mfanya biashara huyo kulia kwa uchungu pesa ya mkopo benk,kumekuwa na matukio haya mengi sana pale dumila.
Tunaomba mamlaka husika wasaidie hili.
Tabia mbaya kabisa polisi kushiriki zoezi la ukwapuaji kwa wahanga wa ajali.

Matukio kama haya ni muhimu sana muwe mnapiga picha au video kwa vielelezo,ili hata ukiwa unatoa taarifa kwa uwajibishaji kuwe na kielelezo kama ushahidi wa tuhuma.

Ukienda na ushahidi hata kwa OCS tu wa kituo husika moto utawaka vyema tu.
 
Wasilusha lalamiko lako wa SACP Alex Mkama, RPC Moro na ex chawa mwandamizi wa JPM akiwa OCD chato.

Mkama ni mbabe hasa, kama magu tu. Atakunyoshea hao pongo hawatarudia.

Polisi wanaendelea ujinga wao Kwa sababu wanaijua raia wanaogopa kuwashitaki.

Ukimshitaki polisi Kwa boss wake Huwa wanahojiwa na kuonywa.

Niliwahi kumshitaki jamaa mmoja Kwa DSO, alianza mazoea ya lazima Kwa mke wangu kisa anaendesha Nissan patrol nyeupe.

Nilikopi namba ya gari, nikaeleza na muonekano wa jamaa DSO.......

Huyo fara hajasogea tena kwenye chimbo langu.

Mimi ukinizingua nitakulalanikia mpaka Kwa rais.
Isije kuwa DSO alitumia udso wake kumpora zigo kwa jamaa wa Nissani
 
Mkuu,baadhi ya maeneo yame kithiri mkuu,hapo dumila police ni ovyo mno,na wao huwa wanaombea ajari naweza sema hivyo,kwa tabia zao
Tabia mbaya kabisa polisi kushiriki zoezi la ukwapuaji kwa wahanga wa ajali.

Matukio kama haya ni muhimu sana muwe mnapiga picha au video kwa vielelezo,ili hata ukiwa unatoa taarifa kwa uwajibishaji kuwe na kielelezo kama ushahidi wa tuhuma.

Ukienda na ushahidi hata kwa OCS tu wa kituo husika moto utawaka vyema tu.
 
Mkuu,baadhi ya maeneo yame kithiri mkuu,hapo dumila police ni ovyo mno,na wao huwa wanaombea ajari naweza sema hivyo,kwa tabia zao
Hapa napinga.
Kweli mtu aombee ajali ili aibeee?
Mkuu hapo nahisi umeandika kimhemko ili waonekane polisi ni wabaya zaidi.
Kama wanamabaya yao tuyaseme ila si ya kufikirika. Hata Mungu hapendi kuhukumu kwa uongo.
Hope ujumbe utafika kama wakisoma bandiko lako
 
Nimesema naweza sema hivyo,kwa tabia zao...
Binadamu tunafikiria tofauti mkuu,unakifikilia vip kitendo cha mtu kumchukulia kitu aliye pata ajari (hasara)..ndio maisha lakini.
Hapa napinga.
Kweli mtu aombee ajali ili aibeee?
Mkuu hapo nahisi umeandika kimhemko ili waonekane polisi ni wabaya zaidi.
Kama wanamabaya yao tuyaseme ila si ya kufikirika. Hata Mungu hapendi kuhukumu kwa uongo.
Hope ujumbe utafika kama wakisoma bandiko lako
 
Back
Top Bottom