Mivyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 275
- 533
Jana kwenye mida ya Saa 21:30 hivi Usiku, nilikuwa Kituo cha Feri Ndani ya Daladala za Machinga Complex tukiwa na abiria wengine, tukisubiri gari lijae tuondoke.
Gari lilivyojaa, dereva alianza kuondoa gari Taratibu kuingia barabarani! Mara ghafla,akapanda huyu ASKARI wa SUMA JKT akiwa na pingu mikononi but alikuwa amevaa nguo za Kiraia, akaenda akamshika Dereva amtoe kwenye usukani amfunge pingu huku gari ikiwa barabarani!
Watu wakawa wamesimama wengine wanashuka,na wengine wanamzuia yule ASKARI! Akatokea baba Mmoja akamzuia yule ASKARI, then akamuomba Kitambulisho chake na baadae akaamuru gari liende polisi.
Kwa kufupisha Stori, ni kwamba tulifanikiwa kufika polisi na Taratibu zikaendelea then tukaondoka na wakaahidi kumlaza selo huyo ASKARI mwenzio,but ilionekana wanavunga tu sijui kumuogopa/ Lah.
NATAMANI KUJUA,je kuna Sheria zinazowakinga hawa SUMA JKT kufanya vile?
Je, hakuna Miongozo ya kikazi inayomuelekeza Utaratibu na namna ya kumkamata mshitakiwa??
Swali la Mwisho, kwani Majukumu ya Polisi na SUMA yanaingiliana hadi kuagizwa Yeye kumkamata mtuhumiwa?
Gari lilivyojaa, dereva alianza kuondoa gari Taratibu kuingia barabarani! Mara ghafla,akapanda huyu ASKARI wa SUMA JKT akiwa na pingu mikononi but alikuwa amevaa nguo za Kiraia, akaenda akamshika Dereva amtoe kwenye usukani amfunge pingu huku gari ikiwa barabarani!
Watu wakawa wamesimama wengine wanashuka,na wengine wanamzuia yule ASKARI! Akatokea baba Mmoja akamzuia yule ASKARI, then akamuomba Kitambulisho chake na baadae akaamuru gari liende polisi.
Kwa kufupisha Stori, ni kwamba tulifanikiwa kufika polisi na Taratibu zikaendelea then tukaondoka na wakaahidi kumlaza selo huyo ASKARI mwenzio,but ilionekana wanavunga tu sijui kumuogopa/ Lah.
NATAMANI KUJUA,je kuna Sheria zinazowakinga hawa SUMA JKT kufanya vile?
Je, hakuna Miongozo ya kikazi inayomuelekeza Utaratibu na namna ya kumkamata mshitakiwa??
Swali la Mwisho, kwani Majukumu ya Polisi na SUMA yanaingiliana hadi kuagizwa Yeye kumkamata mtuhumiwa?