Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Askari Mkomazi auawa na nyati
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamishna Msaidizi Hifadhi ya Mkomazi, Emmanuel Moirana amesema tukio hilo limetokea leo Jumanne Agosti Mosi, 2023 wakati askari huyo akitekeleza majukumu yake.