Askari wa Ukraine: Bakhmut ni kama Jehanamu

Askari wa Ukraine: Bakhmut ni kama Jehanamu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Tangu juzi Rais Zelensky amesikika akisema hali kwenye mji aliosema hautowaponyoka hata siku moja kuwa ni mbaya na inadorora kwa upande wao kila saa.

Pamoja na malalamiko hayo lakini alikuwa akiwasifu sana askari wake kwa ushujaa wao kuendelea kushikilia sehemu walipo.

Leo inaonekana hali imezidi kuwa mbaya kwani askari wenyewe wamesema mambo yalivyo huko ni kama Jehanamu.

Vikosi vya Wagner wamepeleka mstari wa mbele askari wao wenye mafunzo ya hali ya juu ambao wanaharibu kila walichonacho kinachoweza kuwasaidia kupigana.

Dalili zinaonesha muda wowote kuanzia sasa watatangaza kuuwacha mji huo mikononi mwa Urusi kama walivyofanya kwa Soledar na kwengineko.

Mjio utakaofuata katika mpangilio wa Urusi huenda itakuwa ni Kharkiv.
230228131035-01-bakhmut-ukraine-022723-large-tease.jpg
 
Tangu juzi Rais Zelensky amesikika akisema hali kwenye mji aliosema hautowaponyoka hata siku moja kuwa ni mbaya na inadorora kwa upande wao kila saa.

Pamoja na malalamiko hayo lakini alikuwa akiwasifu sana askari wake kwa ushujaa wao kuendelea kushikilia sehemu walipo.

Leo inaonekana hali imezidi kuwa mbaya kwani askari wenyewe wamesema mambo yalivyo huko ni kama Jehanamu.

Vikosi vya Wagner wamepeleka mstari wa mbele askari wao wenye mafunzo ya hali ya juu ambao wanaharibu kila walichonacho kinachoweza kuwasaidia kupigana.

Dalili zinaonesha muda wowote kuanzia sasa watatangaza kuuwacha mji huo mikononi mwa Urusi kama walivyofanya kwa Soledar na kwengineko.

Mjio utakaofuata katika mpangilio wa Urusi huenda itakuwa ni Kharkiv.
230228131035-01-bakhmut-ukraine-022723-large-tease.jpg
Nimemuona Zelensky aljezeela tv anasisitiza hali ni ngumu mnoooo kwa upande wao🤣🤣🤣🤣 Nimefurahi sanaaaaa........
 
Tangu juzi Rais Zelensky amesikika akisema hali kwenye mji aliosema hautowaponyoka hata siku moja kuwa ni mbaya na inadorora kwa upande wao kila saa.

Pamoja na malalamiko hayo lakini alikuwa akiwasifu sana askari wake kwa ushujaa wao kuendelea kushikilia sehemu walipo.

Leo inaonekana hali imezidi kuwa mbaya kwani askari wenyewe wamesema mambo yalivyo huko ni kama Jehanamu.

Vikosi vya Wagner wamepeleka mstari wa mbele askari wao wenye mafunzo ya hali ya juu ambao wanaharibu kila walichonacho kinachoweza kuwasaidia kupigana.

Dalili zinaonesha muda wowote kuanzia sasa watatangaza kuuwacha mji huo mikononi mwa Urusi kama walivyofanya kwa Soledar na kwengineko.

Mjio utakaofuata katika mpangilio wa Urusi huenda itakuwa ni Kharkiv.
230228131035-01-bakhmut-ukraine-022723-large-tease.jpg
Habari nizipendazo kusikia
 
Lakini tunachoshukuru sisi team Ukraine ni kwamba nao Ukraine wameanza kushambulia katikati ya nchi ya urusi.
Ili nao urusi wajue kwamba wanavyo hangaika kuivamia nchi ya watu wakae wajue hata nchi yao nayo wanaweza kuipoteza.
 
Lakini tunachoshukuru sisi team Ukraine ni kwamba nao Ukraine wameanza kushambulia katikati ya nchi ya urusi.
Ili nao urusi wajue kwamba wanavyo hangaika kuivamia nchi ya watu wakae wajue hata nchi yao nayo wanaweza kuipoteza.
Hata taleban/hezbolah kule gaza wana shambuliaga ndani ya Israel swali ni je makombora yao yana madhara?

Kama hujui vidroni viwili vya ukraine vimepigwa shambulio la "electronic attack" na jeshi la urusi vikaishia kuanguka msituni!!

Achana na Urusi mkuu!! Jiulize inakuaje nchi inaogopwa na NATO yenye mataifa zaidi ya 30!!
 
Lakini tunachoshukuru sisi team Ukraine ni kwamba nao Ukraine wameanza kushambulia katikati ya nchi ya urusi.
Ili nao urusi wajue kwamba wanavyo hangaika kuivamia nchi ya watu wakae wajue hata nchi yao nayo wanaweza kuipoteza.
Mm sifurahii kitendo cha Mrusi kushambulia maeneo ya makazi ya Raia kwa kutumia Thermobaric bombs. Hayo makombora (thermobaric missiles) huwa yanaangamiza/yanateketeza kila kitu sio raia,sio askari, sio miundombinu - ni kila kitu.
 
Lakini tunachoshukuru sisi team Ukraine ni kwamba nao Ukraine wameanza kushambulia katikati ya nchi ya urusi.
Ili nao urusi wajue kwamba wanavyo hangaika kuivamia nchi ya watu wakae wajue hata nchi yao nayo wanaweza kuipoteza.
Ila mkuu sijui umelewa yani mrusi apoteze nchi ya Urusi tena kwa Ukraine[emoji1787][emoji1787]
 
Mm sifurahii kitendo cha Mrusi kushambulia maeneo ya makazi ya Raia kwa kutumia Thermobaric bombs. Hayo makombora (thermobaric missiles) huwa yanaangamiza/yanateketeza kila kitu sio raia,sio askari, sio miundombinu - ni kila kitu.
Ila unafuraia Ukraine kushambulia maeneo ya makazi ya watu?
 
Mm sifurahii kitendo cha Mrusi kushambulia maeneo ya makazi ya Raia kwa kutumia Thermobaric bombs. Hayo makombora (thermobaric missiles) huwa yanaangamiza/yanateketeza kila kitu sio raia,sio askari, sio miundombinu - ni kila kitu.
Mbinu yenu ya kujificha maeneo ya raia na kutushambulia haitatokea tena🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom