Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Duuuh! wivu tena,huku mtu anatoa taarifa?Wivu tu
Duuuh! wivu tena,huku mtu anatoa taarifa?Wivu tu
Siku ikitokea ajali na wakafa, uje useme wameonewa wivu kwa vile wamekufaWivu tu
Mimi naishi litembo huo ndiyo usafiri wetu siku zotehatujawahi pata shida. Wewe una wivu tuDuuuh! wivu tena,huku mtu anatoa taarifa?
Noah boda bajajiji ni miladi ya polisi usalama barabarani pesa wanayo kusanya hawa jamaa niyingi kuliko inayo ingia serikaliniHabari wanajukwaa.
Leo nilikuwa nasafiri nilipofika stend nimeikuta Noah inapakia abiria. Ajabu ticket ina maelezo ya gari nyingine, lakini yenyewe plate namba nyingine.
Tumetoka pale tupo 8 na ilipotoka stend ikapakia tena wawili kwenye buti, wengine wakasimama ndani na mwingine mbele kwa dereva manake mbele abiria wa3 nje na dereva, jumla ya abiria 15 na mizigo juu hadi roof inagonga. Nikawambia ni hatari kwa watu na mali yao.
Usalama barabarani fuatilieni hili gari isijaze kuliko uwezo Mbinga via Litembo. Askari msijali maokoto tu.
View attachment 2741023View attachment 2741024
Wivu tuNoah boda bajajiji ni miladi ya polisi usalama barabarani pesa wanayo kusanya hawa jamaa niyingi kuliko inayo ingia serikalini
Shukrani sana kinga ni boraHabari wanajukwaa.
Leo nilikuwa nasafiri nilipofika stend nimeikuta Noah inapakia abiria. Ajabu ticket ina maelezo ya gari nyingine, lakini yenyewe plate namba nyingine.
Tumetoka pale tupo 8 na ilipotoka stend ikapakia tena wawili kwenye buti, wengine wakasimama ndani na mwingine mbele kwa dereva manake mbele abiria wa3 nje na dereva, jumla ya abiria 15 na mizigo juu hadi roof inagonga. Nikawambia ni hatari kwa watu na mali yao.
Usalama barabarani fuatilieni hili gari isijaze kuliko uwezo Mbinga via Litembo. Askari msijali maokoto tu.
View attachment 2741023View attachment 2741024
Nunua coaster mpya wapelekee huenda ikasaidia kupunguza adha.Habari wanajukwaa.
Leo nilikuwa nasafiri nilipofika stend nimeikuta Noah inapakia abiria. Ajabu ticket ina maelezo ya gari nyingine, lakini yenyewe plate namba nyingine.
Tumetoka pale tupo 8 na ilipotoka stend ikapakia tena wawili kwenye buti, wengine wakasimama ndani na mwingine mbele kwa dereva manake mbele abiria wa3 nje na dereva, jumla ya abiria 15 na mizigo juu hadi roof inagonga. Nikawambia ni hatari kwa watu na mali yao.
Usalama barabarani fuatilieni hili gari isijaze kuliko uwezo Mbinga via Litembo. Askari msijali maokoto tu.
View attachment 2741023View attachment 2741024
Coaster utakesha na abiria upati kwani matajiri hawàoni Hilo labda uziblock Noah zote.Nunua coaster mpya wapelekee huenda ikasaidia kupunguza adha.