Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,270
- 2,844
Wasalaam,
Siku mbili izi kuna video ya Waziri wa mambo ya ndani ya nchi akiongea na viongozi wa vyombo vya usalama imeonekana kwenye mitandao ya kijamii.
Waziri huyo alionekana akiwalalamikia sana traffic kwa kufanya kazi bila kuzingatia sheria, utu pia kufanya overcrowding barabarani, unakuta traffic kila baada ya km 0.5 wamepaki gari zao wanakomaa kweli kweli kubargain na madereva.
Waziri aliwakemea wazi wazi akiwaweka wazi je wanataka nayeye awe kiongozi wa matamko kama wengine na kuwaambia ebu watupumzishe wasafiri kipindi hiki tukielekea kwenye balot boxes lasivo wanataka wakose kura maana wasafiri na madereva wao ndo mtaji wao.
Sasa hawa traffic wa Mafinga, Iringa ni kwamba wamepangiwa wengi sana halmashauri hii? Wanajitoa ufahamu? Wana kiburi? Hawaheshimu chain of command? Au wana njaa sanaa? Jamani eeeh ebu tupumzisheni basi kidogo corona imekula ela zetu zote wakati tupo karantin na nyie mnataka kutusumbua.
Au waziri katuzuga kimtindo kama alivokuwa yule kibakuri mtangulizi wakeee?
Siku mbili izi kuna video ya Waziri wa mambo ya ndani ya nchi akiongea na viongozi wa vyombo vya usalama imeonekana kwenye mitandao ya kijamii.
Waziri huyo alionekana akiwalalamikia sana traffic kwa kufanya kazi bila kuzingatia sheria, utu pia kufanya overcrowding barabarani, unakuta traffic kila baada ya km 0.5 wamepaki gari zao wanakomaa kweli kweli kubargain na madereva.
Waziri aliwakemea wazi wazi akiwaweka wazi je wanataka nayeye awe kiongozi wa matamko kama wengine na kuwaambia ebu watupumzishe wasafiri kipindi hiki tukielekea kwenye balot boxes lasivo wanataka wakose kura maana wasafiri na madereva wao ndo mtaji wao.
Sasa hawa traffic wa Mafinga, Iringa ni kwamba wamepangiwa wengi sana halmashauri hii? Wanajitoa ufahamu? Wana kiburi? Hawaheshimu chain of command? Au wana njaa sanaa? Jamani eeeh ebu tupumzisheni basi kidogo corona imekula ela zetu zote wakati tupo karantin na nyie mnataka kutusumbua.
Au waziri katuzuga kimtindo kama alivokuwa yule kibakuri mtangulizi wakeee?