Askari zaidi 30 wa Israeli wafariki katika uvamizi wa Lebanon kusini

Wamekufa 3 .........67 ni majeruhi na 5 ndio wako kwenye hali mbaya................so puuuza uongo wowote
 
Wewe tumeishakupuza endelea na uchekeshaji JF😃
Na nyie endeleeni na zecomedy yenu huko na ndugu zenu wayahudi.......acha tuwaone wazee wa dini za majahazi mnakamuana vipi
 
Faiza Foxy leo atakunywa pombe kwa furaha.
 
Uongo huu umeletwa kwa Hisani ya Allah na umewasilishwa na Iblis kupitia mtumwa wa Allah
 
Source ni suleiman ahmed, ila we jamaa🤣ni sawa na utoe habari kuhusu Israel then source iwe kimsboy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…