Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali, hoja, majibu utaweka mwenyewe, swali la leo ni kujiuliza kwa sauti, asking aloud: "Je Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batilifu?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Je, anajua ubatili huu unadhulumu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Je anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuandika mabandiko marefu, sometimes nakuwa too emotional, hivyo nondo zina tiririka tuu na ku flows.
Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ni katiba batilifu, ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili!. Serikali yetu tukufu imetunga muswada wenye kipengele batili, Bunge letu likatunga Sheria batili, na Rais akaisaini hiyo sheria batili kuanza kutumika bila yeye Rais kujua kuwa amesainishwa sheria batili!.
Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?
Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.
The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!
Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.
Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Ijue Katiba kwa Jicho la Mtunga Katiba: Mtunga Katiba alimaanisha nini aliposema "Katiba ni Sheria Mama"? Ni kweli Katiba ni Sheria Mama? sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika there and then!
Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria kitutusa, hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama mazuzu vile, checks and balance inatoka wapi?
Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.
Sikuishia kuandika tuu, pia nimezungumza mara 3 kwenye mikutano
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.
Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.
Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kusisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out Watanzania kurejeshewa haki zao, Please do, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.
Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.
Conclusion.
Namalizia kwa swali la msingi la bandiko hili. Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulmu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.
Jee Rais Samia Afanye Nini?.
Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.
Alipomteua Doto kuwa Naibu PM kinyume na katiba tulisema nyie wasaka fursa mkaona sisi tunaona wivu, hakuna mvunja katiba mkuu kama huyu maza hata yeye amewahi kuidharau katiba na kusema kijitabu mkashangalia.
Tanzania haiendeshwi kwa kufuata katiba, sheria na taratibu inaendeshwa kwa kufuata maono na utashi wa Rais, kuna Jaji Mkuu yupo kinyume na katiba maza kala pin kisa ni mtu wa Ijumaa mwenzake
Tanzania nchi yenye mbumbumbu wengi kiasi tunashindwa na sisimizi wadogo wanaoendesha maisha yao kwa kufuata katiba yao ya kutogombania mzoga na kuwa na haki sawa kwa wote. Hawa sisimizi kila wanapopishana wakati wa kutimiza majukumu yao hukumbushana kutimiza wajibu kulingana na katiba yao, sisi tulitupa tunaishi kwa kipaumbele cha kushinda uchaguzi, kubeti na kuzichambua Simba na Yanga kutwa nzima.
Mayala, ulishafanya appearance walau mara nne Mahakamani, walau upate fursa ya kutafsiri hata kifungu cha sheria ....kimoja tu? Tuweke mbali katiba, sheria mama.
Wanabodi
Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali, hoja, majibu utaweka mwenyewe, swali la leo ni Asking Aloud: "Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulmu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuandika mabandiko marefu, sometimes nakuwa too emotional, hivyo nondo zina tiririka tuu na ku flows.
Hili shurti la wanasiasa kudhaminiwa na chama cha siasa, ili kugombea uongozi ni shurti batili liko kinyume na katiba ya JMT ya mwaka 1977, na limechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu.
Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili, Serikali imetunga muswada batili, Bunge letu likatunga Sheria Batili, na Rais akaisaini hiyo Sheria batili kuanza kutumika.
Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?.
Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.
The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!.
Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.
Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Ijue Katiba kwa Jicho la Mtunga Katiba: Mtunga Katiba alimaanisha nini aliposema "Katiba ni Sheria Mama"? Ni kweli Katiba ni Sheria Mama? sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika there and then!.
Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria kitutusa, hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama mazuzu vile, checks and balance inatoka wapi?!.
Bunge letu chini mwalimu wangu, mwanasheria mbobezi na mbobevu, Dr. Tulia Akson, alipaswa kulitumia Bunge to i check Serikali kuwa haiwezi kututungia muswada batili, na Bunge lina mamlaka ya kuuondoa ubatili huo na kutunga sheria safi isiyo na ubatili, lakini Bunge letu, likatunga Sheria Batili kitutusa na kumpelekea Rais Samia kuisaini!.
Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.
Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.
Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.
Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kusisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out Watanzania kurejeshewa haki zao, Please do, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.
Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.
Conclusion.
Namalizia kwa swali la msingi la bandiko hili. Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulmu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.
Jee Rais Samia Afanye Nini?.
Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.
Kwani mkuu tunafuata hii katiba au tunaenda na utashi wa rais? Ndio mana neno lake ndio sheria anaamua kila kitu hadi bei za mazao anatoa kwenye mkutano😃😃😃 we are completely lost
Wanabodi
Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali, hoja, majibu utaweka mwenyewe, swali la leo ni Asking Aloud: "Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulmu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuandika mabandiko marefu, sometimes nakuwa too emotional, hivyo nondo zina tiririka tuu na ku flows.
Hili shurti la wanasiasa kudhaminiwa na chama cha siasa, ili kugombea uongozi ni shurti batili liko kinyume na katiba ya JMT ya mwaka 1977, na limechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu.
Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili, Serikali imetunga muswada batili, Bunge letu likatunga Sheria Batili, na Rais akaisaini hiyo Sheria batili kuanza kutumika.
Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?.
Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.
The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!.
Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.
Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Ijue Katiba kwa Jicho la Mtunga Katiba: Mtunga Katiba alimaanisha nini aliposema "Katiba ni Sheria Mama"? Ni kweli Katiba ni Sheria Mama? sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika there and then!.
Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria kitutusa, hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama mazuzu vile, checks and balance inatoka wapi?!.
Bunge letu chini mwalimu wangu, mwanasheria mbobezi na mbobevu, Dr. Tulia Akson, alipaswa kulitumia Bunge to i check Serikali kuwa haiwezi kututungia muswada batili, na Bunge lina mamlaka ya kuuondoa ubatili huo na kutunga sheria safi isiyo na ubatili, lakini Bunge letu, likatunga Sheria Batili kitutusa na kumpelekea Rais Samia kuisaini!.
Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.
Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.
Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.
Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kusisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out Watanzania kurejeshewa haki zao, Please do, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.
Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.
Conclusion.
Namalizia kwa swali la msingi la bandiko hili. Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulmu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.
Jee Rais Samia Afanye Nini?.
Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.
Pascal ungefanya jambo la maana sana kama ungefungua kesi ya kikatiba ili ku challenge ubatili huu kama vile alivyokuwa anafanya Marehemu Christopher Mtikila maana hawa watu wanafahamu kabisa ubatili huu bali wameamua kuziba masikio.
Pascal ungefanya jambo la maana sana kama ungefungua kesi ya kikatiba ili ku challenge ubatili huu kama vile alivyokuwa anafanya Marehemu Christopher Mtikila maana hawa watu wanafahamu kabisa ubatili huu bali wameamua kuziba masikio.
Hapo ndipo mawakili wasomi, Chama cha Mawakili Tanganyika - TLS, na wadau wengine waende mahakamani kuomba hukumu ikaziwe hata ikibidi Mahakama ya Juu Zaidi.
Kenya kila muswaada, uteuzi, uundwaji wizara, Ofisi za Wenza wa Viongozi wa Juu, matamko ya polisi, Kauli ya Kina Nape n.k huangaliwa kwa jicho makini na kama kuna uvunjifu wa katiba basi wadau, wanasheria na raia hukimbilia Mahakamani kulikumbusha bunge na serikali juu ya ubatili na mara nyingi serikali hujisahihisha.
18 Julai 2024
Nairobi, Kenya
Mahakama yabatilisha agizo la Inspekta wa polisi
Mahakama Kuu nchini Kenya imebatilisha amri ya kaimu inspekta wa polisi IGP Douglas Kanja ya kupiga marufuku maandamano kwa kipindi kisichojulikana.
Katika kesi iliyowasilishwa mahakamani na shirika la katiba institute, mahakama imemuamuru kanja kutoa taarifa kwa maafisa wote akibatilisha amri yake.
Wanabodi
Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali, hoja, majibu utaweka mwenyewe, swali la leo ni Asking Aloud: "Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulmu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuandika mabandiko marefu, sometimes nakuwa too emotional, hivyo nondo zina tiririka tuu na ku flows.
Hili shurti la wanasiasa kudhaminiwa na chama cha siasa, ili kugombea uongozi ni shurti batili liko kinyume na katiba ya JMT ya mwaka 1977, na limechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu.
Kufuatia ubatili huu, unamaanisha katiba yetu ina ubatili, na sheria mpya ya uchaguzi ni sheria batili, Serikali imetunga muswada batili, Bunge letu likatunga Sheria Batili, na Rais akaisaini hiyo Sheria batili kuanza kutumika.
Swali ni Je Rais Rais Samia, anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini juzi juzi, kwa jicho la kisheria ni sheria batili?.
Japo Rais wa Tanzania, ana kinga ya kikatiba ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote atakayotenda akiwa madarakani katika utekelezaji wa majukumu yake ya urais, ila ibara ya 56A imesema specific kuwa kinga hiyo ya rais kutokushitakiwa, inahusu makosa mengine yote, ila haihusu Rais anapovunja katiba ya JMT, anashitakiwa kwa mujibu wa ibara ya 56A.
The only excuse ya rais kusaini sheria batili kuanza kutumika, ni kwa vile Rais wetu sio mwanasheria, hivyo hategemewi kuujua ubatili wa Katiba, ila kwa vile anawasaidizi wake sheria, wakiongozwa na Waziri wa sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hawa ni manguli wa sheria, wabobezi na wabobevu ambao wanaujua kabisa ubatili wa sheria hiyo, na ubatili wa Katiba, lakini hawajamweleza Rais Samia kuhusu ubatili huu kwa excuse kuwa ubatili huu umefanywa na awamu zilizotangulia, Rais Samia kaingia kaukuta, hivyo wakamtungia tuu sheria batili kwasababu sheria ikiyokuwepo nayo ni batili lakini ilikuwa inatumika!.
Kuna kanuni ya the doctrine of separation of powers between mihimili inayokwenda na kitu kinachoitwa checks and balance inayoitaka kila mhimili kuwa kiranja wa mhimili mwenzake usikiuke mamlaka yake wala usikiuke katiba.
Ibara ya 64 (5) ya Katiba imetamka wazi kuwa katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote itakayo kinzana na katiba, sheria hiyo itakuwa ni batili. Ijue Katiba kwa Jicho la Mtunga Katiba: Mtunga Katiba alimaanisha nini aliposema "Katiba ni Sheria Mama"? Ni kweli Katiba ni Sheria Mama? sheria batili sio Mahakama, ni katiba yenyewe, jukumu la Mahakama ni kuithibisha tuu huo ubatili na kutangaza kuwa ni batili, tangu siku Mahakama Kuu ya Tanzania ilipouthitisha ubatili huu na kuutangaza, kuanzia hapo ubatili huo unakuwa umeisha batilishika there and then!.
Licha ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuutangaza ubatili huu na kuubatilisha, lakini Serikali ya awamu ya Sita, bado imetunga muswada wa sheria wenye ubatili ule ule, na Bunge letu, likaupokea muswada huo batili na kuutungia sheria kitutusa, hali iliyowafanya wabunge wetu makini kugeuka kama mazuzu vile, checks and balance inatoka wapi?!.
Bunge letu chini mwalimu wangu, mwanasheria mbobezi na mbobevu, Dr. Tulia Akson, alipaswa kulitumia Bunge to i check Serikali kuwa haiwezi kututungia muswada batili, na Bunge lina mamlaka ya kuuondoa ubatili huo na kutunga sheria safi isiyo na ubatili, lakini Bunge letu, likatunga Sheria Batili kitutusa na kumpelekea Rais Samia kuisaini!.
Kwavile Rais Samia anawaamini sana wasaidizi wake, wamemtungia muswada batili na Bunge likitunga Sheria batili, Rais Samia yeye amesaini with very clear conscious kuwa anasaini sheria halali bila wasaidizi wake kumweleza kuwa sheria hiyo ni batili, hivyo kwenye hili la ubatili wa sheria mpya ya uchaguzi, Rais Samia hana kosa kabisa, wenye makosa ni Serikali kutunga muswada batili na Bunge kutunga sheria batili!.
Swali la kujiuliza ni baada ya kelele zote hizi kuhusu ubatili wa Katiba yetu na ubatili wa sheria zetu, jee Rais Samia amezisikia?.
Naona maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa sheria batili yanaendelea, na mwakani tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu na katiba batili na sheria batili!.
Kwa vile Mungu ni haki, no one knows for sure kwanini yule aliitwa na kuondoshwa mapema, usikute na hii dhulma ya haki za Watanzania, zimechangia, naendelea kusisitiza Mama yetu, if there is anything she can do to help out Watanzania kurejeshewa haki zao, Please do, utabarikiwa, tutabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!.
Naamini kabisa kuna siku iso jina, kilio hiki cha haki kitasikika!.
Conclusion.
Namalizia kwa swali la msingi la bandiko hili. Jee Rais Samia anajua kuwa Katiba yetu ina ubatili fulani, uliochomekewa kiubatili hivyo kuifanya Tanzania kuwa na katiba Batili?. Je anajua kuwa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyosaini hapa juzi kati ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT ya Mwaka 1977?. Jee anajua ubatili huu unadhulmu haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa?. Jee anajua kila dhulma ya haki, huwa ina consequences?.
Jee Rais Samia Afanye Nini?.
Mungu Mbariki Rais Samia, jicho ona lake liione hii dhulma kubwa ya haki ya Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa airejeshe.
Hon. Adv. P
( Renowned journalist and learned counsel)
You have made excellent contributions and input to align good governance for the people of Tanzania without prejudice to access to constitutional rights.
I admire your confident podium presentation that fits the audience.
I wish I could transfer your innovative soft skills and thinking capabilities to enliven the motivation of positive thoughts and actions to become who you are.